cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,943
Haupigwii, niaminii mie. 😂😂😂Nishaziona dalili mapema 🔥🔥
Haupigwii, niaminii mie. 😂😂😂Nishaziona dalili mapema 🔥🔥
😹😹😹 le mutuzNa yule mwingine Papa mobimba, 😂😂😂 ndio anajifanya ndumi la kuwili,.
Ko kumbe uzi ulitembea kuhusu Suala la gugo lenzi? kumbe watu humu ni wapyaa eeeh??
Watuache makontawa wenye uzi wetu, tuko nao sako kwa bakoo, walitukuta na watatuacha..
😂😂😂😂
🍿 🥤Khe kumeshakucha kumbe
EwaaahUzi uko trending usiku huu mnaroga au ndo mnalisha nyoka
Tunalisha ndondocha nyama, unga hawataki siku hizii.Uzi uko trending usiku huu mnaroga au ndo mnalisha nyoka
NimekaribiaEwaaah
Tunaroga ndugu karibu kilingeni
Sawa nipo nimekaa pale 😂😂, uzuri huu uzi naujua in and out 😅😂Haupigwii, niaminii mie. 😂😂😂
😹😹😹 Majina ya wazalamoTwende nikupeleke hadi Tuamoyo huko, 😂😂😂
Ushindwee wewee tu,
Fumba machoo vinakujaNipe kabla sijasinzia na kahawa nipoteze usingizi
Watu wadhazoea mishikaki ya miambili mbili na vipweza vya mia mia sahiz muwalishe unga wee kuweza wapeni supu wapeni hata supu ya mapupu 😀Tunalisha ndondocha nyama, unga hawataki siku hizii.
😂😂😂😂 misukule ya miaka hii imechangamka sana.
😂😂😂 umechelewa kumsoma labda, yuko hivyo siku zote.Aniombee kipindi Azam nikawachambe 😹😹
Mbaga nilikuwa namuheshimu ujue nilimchukulia km mshkaji kaniumiza sana kujihusisha na mambo ya kike..!!
Kwa alivyojiweka humu na mambo ya kike Hata hayampendezi..!!
NasubiriFumba machoo vinakuja
Shangazii leo mjomba kakupa nini? Sijakuzoea hivii? 😂😂😂Watu wadhazoea mishikaki ya miambili mbili na vipweza vya mia mia sahiz muwalishe unga wee kuweza wapeni supu wapeni hata supu ya mapupu 😀
😂😂😂😂 mbona kwiooo.Labella ndo mimi, na hizo shengesha zote zimeanzia juzi. Ila jana sasa ndio presha zikawapanda ndio km hivi..!!
Jogoo huyo kwiyooo 😹😹😹
Max akifunga naenda hadi kwake, 😂😂😂😹😹😹 le mutuz
Yani hata km hutaki kugombana unalazimishwa..!!
Hatuondoki labda Max afunge JF
wew ulikataagi likopi lako.Labella ndo mimi, na hizo shengesha zote zimeanzia juzi. Ila jana sasa ndio presha zikawapanda ndio km hivi..!!
Jogoo huyo kwiyooo 😹😹😹
😂😂😂 haufungwiiii, niamini mie.Sawa nipo nimekaa pale 😂😂, uzuri huu uzi naujua in and out 😅😂
Ila kigamboni kunae sehemu huko Tungi. 😂😂😂😹😹😹 Majina ya wazalamo
Lazima tufanye tour
😀😀😀Utasema nimekunywa supu ya pilipiliShangazii leo mjomba kakupa nini? Sijakuzoea hivii? 😂😂😂