cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 117,886
- 192,231
Haupigwii, niaminii mie. ๐๐๐Nishaziona dalili mapema ๐ฅ๐ฅ
Haupigwii, niaminii mie. ๐๐๐Nishaziona dalili mapema ๐ฅ๐ฅ
๐น๐น๐น le mutuzNa yule mwingine Papa mobimba, ๐๐๐ ndio anajifanya ndumi la kuwili,.
Ko kumbe uzi ulitembea kuhusu Suala la gugo lenzi? kumbe watu humu ni wapyaa eeeh??
Watuache makontawa wenye uzi wetu, tuko nao sako kwa bakoo, walitukuta na watatuacha..
๐๐๐๐
๐ฟ ๐ฅคKhe kumeshakucha kumbe
EwaaahUzi uko trending usiku huu mnaroga au ndo mnalisha nyoka
Tunalisha ndondocha nyama, unga hawataki siku hizii.Uzi uko trending usiku huu mnaroga au ndo mnalisha nyoka
NimekaribiaEwaaah
Tunaroga ndugu karibu kilingeni
Sawa nipo nimekaa pale ๐๐, uzuri huu uzi naujua in and out ๐ ๐Haupigwii, niaminii mie. ๐๐๐
๐น๐น๐น Majina ya wazalamoTwende nikupeleke hadi Tuamoyo huko, ๐๐๐
Ushindwee wewee tu,
Fumba machoo vinakujaNipe kabla sijasinzia na kahawa nipoteze usingizi
Watu wadhazoea mishikaki ya miambili mbili na vipweza vya mia mia sahiz muwalishe unga wee kuweza wapeni supu wapeni hata supu ya mapupu ๐Tunalisha ndondocha nyama, unga hawataki siku hizii.
๐๐๐๐ misukule ya miaka hii imechangamka sana.
๐๐๐ umechelewa kumsoma labda, yuko hivyo siku zote.Aniombee kipindi Azam nikawachambe ๐น๐น
Mbaga nilikuwa namuheshimu ujue nilimchukulia km mshkaji kaniumiza sana kujihusisha na mambo ya kike..!!
Kwa alivyojiweka humu na mambo ya kike Hata hayampendezi..!!
NasubiriFumba machoo vinakuja
Shangazii leo mjomba kakupa nini? Sijakuzoea hivii? ๐๐๐Watu wadhazoea mishikaki ya miambili mbili na vipweza vya mia mia sahiz muwalishe unga wee kuweza wapeni supu wapeni hata supu ya mapupu ๐
๐๐๐๐ mbona kwiooo.Labella ndo mimi, na hizo shengesha zote zimeanzia juzi. Ila jana sasa ndio presha zikawapanda ndio km hivi..!!
Jogoo huyo kwiyooo ๐น๐น๐น
Max akifunga naenda hadi kwake, ๐๐๐๐น๐น๐น le mutuz
Yani hata km hutaki kugombana unalazimishwa..!!
Hatuondoki labda Max afunge JF
wew ulikataagi likopi lako.Labella ndo mimi, na hizo shengesha zote zimeanzia juzi. Ila jana sasa ndio presha zikawapanda ndio km hivi..!!
Jogoo huyo kwiyooo ๐น๐น๐น
๐๐๐ haufungwiiii, niamini mie.Sawa nipo nimekaa pale ๐๐, uzuri huu uzi naujua in and out ๐ ๐
Ila kigamboni kunae sehemu huko Tungi. ๐๐๐๐น๐น๐น Majina ya wazalamo
Lazima tufanye tour
๐๐๐Utasema nimekunywa supu ya pilipiliShangazii leo mjomba kakupa nini? Sijakuzoea hivii? ๐๐๐