Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na yule mwingine Papa mobimba, 😂😂😂 ndio anajifanya ndumi la kuwili,.

Ko kumbe uzi ulitembea kuhusu Suala la gugo lenzi? kumbe watu humu ni wapyaa eeeh??
Watuache makontawa wenye uzi wetu, tuko nao sako kwa bakoo, walitukuta na watatuacha..
😂😂😂😂
😹😹😹 le mutuz
Yani hata km hutaki kugombana unalazimishwa..!!

Hatuondoki labda Max afunge JF
 
Aniombee kipindi Azam nikawachambe 😹😹

Mbaga nilikuwa namuheshimu ujue nilimchukulia km mshkaji kaniumiza sana kujihusisha na mambo ya kike..!!

Kwa alivyojiweka humu na mambo ya kike Hata hayampendezi..!!
😂😂😂 umechelewa kumsoma labda, yuko hivyo siku zote.
Ndio maana siku naona picha yake nilimchana, hufanani na mambo yako, aka react, ya humu ni ya humu, nilimuelewa pia.
 
Na mimi nimo?
Mtanionea tu. Labella ni rafiki tu kama wewe Lamomy ila akinipa sikatai, nawika fresh tu😁

Weka picha wafwe kabisaa
Labella ndo mimi, na hizo shengesha zote zimeanzia juzi. Ila jana sasa ndio presha zikawapanda ndio km hivi..!!

Jogoo huyo kwiyooo 😹😹😹
 
Back
Top Bottom