๐น๐น๐น Simu itazima kwa mshtukoNaruhusiwa kuweka ringtone hii?
Au unaweza ukarusha robo robo zikifika nne naunganisha๐Ili ukimbie
Wapi walikosema kidampa na mwanaume?Wamekiwasha kwa kuchamba au? ๐๐๐
Maana huko juu nimeona sijui mwanaume sijui kidampa yanamtoka maneno.
Nikaamua nitazame pages, naona za kishato, afu nimechoka Leo,
Ndio nikauliza, nikajua labda kuna ubuyu wa๐ฅ umenipita.
Wakaka ๐ฅต wako huku nje mahii, kunae huyoo huyu ntaweweseka week nzima.
๐๐๐
๐น๐น๐น Endelea kufananishaWallah tenaa, hii sauti sio ngeni kabisa masikioni kwangu.
๐๐๐
Hebu nipite chap kwa ๐Au unaweza ukarusha robo robo zikifika nne naunganisha๐
Haiwezekani, ndio nimeweka hapa inibembeleze nipate usingizi.๐น๐น๐น Simu itazima kwa mshtuko
A yu zea?๐น๐น๐น Endelea kufananisha
Tukutane tsap ucheke ๐น๐นNimekujaaa mahiii, hayaa nipee huo ubuyuu uduguu akee.
๐๐๐
Duuuh vibayaa hivyoo, ๐ข๐ข๐ขHuna bahati mahi wikiend ijayo usicheze sana
Tupooo hapaaa!!!
Hajaonamshamba_hachekwi umeona?
๐น๐น๐น Thubutuuuu..!!Haiwezekani, ndio nimeweka hapa inibembeleze nipate usingizi.
๐ ๐ kaonaHajaona
Yes, do the needful ๐ปA yu zea?
Mambo mingi mama mtumishii,Na unapitwa sn sikuhizi
Shida yako we muongo sana, ndio maana huamini wenzio๐น๐น๐น Thubutuuuu..!!