Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimepata dada wa nyumbani, changamoto yake akiwa jikoni muda wote mdomo unatafuna.
Nikawa nampotezea naona anaonja kawaida ila juzi naenda jikoni namkuta kitimoto kaweka kwenye nyanya tayari, ametenga vipande vi3 pembeni vya kutafuna na muda huo mdomo una nyama.

Hapa anakaanga chips, hii awamu ya 3 kila akitoa na yeye anachota anakula
Ukiwa sebleni unaona jikoni ndo maana namuona.
Hii ni kawaida kwa wote au🤔
Looh,huyu ni mdokozi aisee,
 
Hahhahaa na wajomba ndio kina nyie, kazi ipo🤣🤣
Kwa yale yaliyomo niliyoyaona, bila ng'ombe 100 haturuhusu wakuchukue mjukuu

Na ndiyo maana wale Vijana wa nyumba za jirani walikuwa hawaachi kuja kununua ice cream kumbe ilikuwa janja yao ya kuja kukuona 🤭
 
Back
Top Bottom