Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe una tabia kama yangu ya kwenda kugoogole lens! 😂
Jana nikalens picha za seran alizonitumia nikaambulia manyoya🤣

Jf weka picha ambayo hujawahi kuiweka kwenye mitandao mingine tofauti na hapo tutakujua
Kuna picha flan wewe ulikua unaziweka selfika nikafanya hivo nikakuta ni mmama flani wa kisouth Africa
 
Kuna kipindi nilipost picha humu nikaambiwa Hizo picha sio zangu 😂 eh kumbe kuna watu wana taarifa zangu ambazo Mm mhusika sina 😂

Ila mm nadhani jinsi unavyokuwa serious sana humu, ndivyo utakavyozidi kuumizwa kichwa na watu wa humu.

Kuna mtu humu alipost picha, hiyo picha nikaifanyia Google lens nikakutana Na picha zake kibao Instagram, sasa nikajiuliza Ipi sababu ya kuficha sura humu afu hapo hapo insta zipo kibao 😂
Nashukuru sana kwa taarifa
Hatutarudia
 
Aaah ulikua mbele ya muda!😂 Akikaa sebleni anapost, akiwa jikoni anapost hana baya
Sema siku hizi nimeacha kufuatilia sana picha, na kuunganisha dots ila wengi waliojoin zamani walikua open sana ukiwa serious kidogo unapata kurasa zao za Insta. Nliwafollow baadhi siku hizi naona wameswitch account zao kua private.
 
Back
Top Bottom