ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 19,575
- 71,522
Mbona unanisemaSelfika incase Huna la kupoteza.
Sasa mtu anashindia energy drinks na vitumbua Afu kutwa kudai unalinda privacy Yako.
Privacy ya nyokweeeeeeeeeeeeee
Mbona unanisemaSelfika incase Huna la kupoteza.
Sasa mtu anashindia energy drinks na vitumbua Afu kutwa kudai unalinda privacy Yako.
Privacy ya nyokweeeeeeeeeeeeee
Njoo tunywe 🍺 🍻Kwa sababu hainiathiri.
anyway n kweli nimefanya jambo la kifala mana leo siko Sawa, nikadhani nafanya kitu cha kunipa relief Kumbe nazingua.
👍😉Tulia 😎
Mbaga una nini leo lakini Shenziii 🤣🤣Selfika incase Huna la kupoteza.
Sasa mtu anashindia energy drinks na vitumbua Afu kutwa kudai unalinda privacy Yako.
Privacy ya nyokweeeeeeeeeeeeee
Yaani mimi huwezi kunizidi akili kirahisi hivi mamaake! kwanza sipost picha utazipataje?Kumbe una tabia kama yangu ya kwenda kugoogole lens! 😂
Jana nikalens picha za seran alizonitumia nikaambulia manyoya🤣
Jf weka picha ambayo hujawahi kuiweka kwenye mitandao mingine tofauti na hapo tutakujua
mbaga jr tulia basi mndu wetu yetoo
Yeah mapema tu.ushatoka kwenye ibada?
Kijana leo umeurugwa hii sio kawaida!Selfika incase Huna la kupoteza.
Sasa mtu anashindia energy drinks na vitumbua Afu kutwa kudai unalinda privacy Yako.
Privacy ya nyokweeeeeeeeeeeeee
UlongoooIla c kweli?
sio kweli!Google lens hata ukiweka picha ambayo haipo kwenye mitandao bado itakupeleka kwa mhusika tuu.
Haya tuu 😂Ulongooo
Hiyo google lens ya Al auGoogle lens hata ukiweka picha ambayo haipo kwenye mitandao bado itakupeleka kwa mhusika tuu.
Yes❤️Nmetulia Dada yangu kipenzi
Tulia weweYaani mimi huwezi kunizidi akili kirahisi hivi mamaake! kwanza sipost picha utazipataje?
halafu hii tabia ni mbaya siku ukakute picha yangu iko page ya nigerian celebrity huko!🤭
basi vizuriii badae upite uibless j2 yangu 😋Yeah mapema tu.
Uhakika mkuu.basi vizuriii badae upite uibless j2 yangu 😋
Yani picha sijawahi post ila ikuelekeze kwangu tu nyooh!Jidanganye.
thus y ailovyuu mere young 🤗😊Uhakika mkuu.
UshasemaRelax huachiki ng'oo
we endelea mi simo! 🤣Tulia wewe