Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna kipindi nilipost picha humu nikaambiwa Hizo picha sio zangu 😂 eh kumbe kuna watu wana taarifa zangu ambazo Mm mhusika sina 😂

Ila mm nadhani jinsi unavyokuwa serious sana humu, ndivyo utakavyozidi kuumizwa kichwa na watu wa humu.
Ndio ukaamua ujianike leo mdogo wangu🤣🤣 ila wapare kwa ubishi hatujambo
Kuna mtu humu alipost picha, hiyo picha nikaifanyia Google lens nikakutana Na picha zake kibao Instagram, sasa nikajiuliza Ipi sababu ya kuficha sura humu afu hapo hapo insta zipo kibao 😂
Acha basi nawe mfukunyuzi aisee 🤣
Ni nani huyo😎
 
Kuna kipindi nilipost picha humu nikaambiwa Hizo picha sio zangu 😂 eh kumbe kuna watu wana taarifa zangu ambazo Mm mhusika sina 😂

Ila mm nadhani jinsi unavyokuwa serious sana humu, ndivyo utakavyozidi kuumizwa kichwa na watu wa humu.

Kuna mtu humu alipost picha, hiyo picha nikaifanyia Google lens nikakutana Na picha zake kibao Instagram, sasa nikajiuliza Ipi sababu ya kuficha sura humu afu hapo hapo insta zipo kibao 😂
Bro wataacha kuselfika 🙌🏾 inatosha
 
Kuna kipindi nilipost picha humu nikaambiwa Hizo picha sio zangu 😂 eh kumbe kuna watu wana taarifa zangu ambazo Mm mhusika sina 😂

Ila mm nadhani jinsi unavyokuwa serious sana humu, ndivyo utakavyozidi kuumizwa kichwa na watu wa humu.

Kuna mtu humu alipost picha, hiyo picha nikaifanyia Google lens nikakutana Na picha zake kibao Instagram, sasa nikajiuliza Ipi sababu ya kuficha sura humu afu hapo hapo insta zipo kibao 😂
Kumbe una tabia kama yangu ya kwenda kugoogole lens! 😂
Jana nikalens picha za seran alizonitumia nikaambulia manyoya🤣

Jf weka picha ambayo hujawahi kuiweka kwenye mitandao mingine.
 
Back
Top Bottom