Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,408
- 102,314
Kupenda hakuhusiani na kuwa kipofu wa upumbavuHujapenda, siku ukipenda utatoa mwenyewe bila kuombwa..!!
Kupenda hakuhusiani na kuwa kipofu wa upumbavuHujapenda, siku ukipenda utatoa mwenyewe bila kuombwa..!!
Sina vimelea vya usukuma mkuuHuyu sio msukuma kweli 🤣🤣🤣
Nasema ila naogopa
wasukuma wanavyojua kuhudumia sasa,, itapendeza zaidi,, huo mwili wake mimi hoi🤭, sijui kwanini kalichelewa kuzaliwa sasa aaaahHuyu sio msukuma kweli 🤣🤣🤣
Nasema ila naogopa
Kaka unajua leo ni weekend nkutakie tafrija njemaKuwake familia🔥
nimekumbuka huyu bado mdogo au nijilipue tu nianze kumkuza mdo mdo,👌😂😂😂Huibiwi na mtu mama’ake kila mtu anashikilia koloni lake humu🤭
Mapenzi uchizi mapenzi ukichaa Darassauwiii hivi nimeandika nini,, jamni namaanisha mdogo wangu nimepagawa bwana😂😂😂😂😂
PoleMhmm..! Ila sio kwa JF hizo guts sina..!! 😹
Wakinga tumezidi kwenye pesa 😹😃😃😃Sijui Mungu aliweka nini hizo confidence sijui huwa zinatoka wap...
Kuhusi kufikiria pesa😃hii ni kila mtu hata Eron Musk bado anaziwaza bado
Mdogo haiingii kwani, we ishi hapo mdogo wako huyo? Hebu nilale mimi nmeaga masaa mawili umbea nao🤣nimekumbuka huyu bado mdogo au nijilipue tu nianze kumkuza mdo mdo,👌😂😂😂
Kakutana na dalaliMapenzi uchizi mapenzi ukichaa Darassa
Ukiona hivyo jua tayali 😃
Nyie mna ujasiri sana ku selfika naked mchezoWhy msukuma!🤣
Pancha mkuu hapa mapema tuu naachia nyoa sitoboi leo mida mibovuKaka unajua leo ni weekend nkutakie tafrija njema
Sema WallahSina vimelea vya usukuma mkuu
Haya tupia muda ndo huu leo sijaenda live band naona jau kweli..!!Kupenda hakuhusiani na kuwa kipofu wa upumbavu
Hebu tuacheni jamani, usukuma ni mwingi 🤣Nyie mna ujasiri sana ku selfika naked mchezo
Rumagiia na chumvii mahiwasukuma wanavyojua kuhudumia sasa,, itapendeza zaidi,, huo mwili wake mimi hoi🤭, sijui kwanini kalichelewa kuzaliwa sasa aaaah
Natokea kusini.Sema Wallah
Nimekuja sasa, haya wekaa kituu mwanakwetuu.
leo sijakuona kabisa, hebu ruka basi pacha.Haya tupia muda ndo huu leo sijaenda live band naona jau kweli..!!
Mnipe na movie ya kutisha initishe nilale 😹😹