Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nitakupa ubuyu pm 😹
Ila wanaume wa kibongo ko hamtoi pesa bila kupewa kitu? 😹😹
Nimejifunza kusema no kwa kila kitu, na mtu aki insist sana lazima uulize unataka nini in return. Wenzetu hawataki favours kabisaa bila kusema lengo ni nini. Hata ukinipa lazima nijue unataka nini in-return, huwezi kunipa bure bure. Sijui unanielewa 😆
Karibu PM nakusubiri ulete huo ubuyu
 
Bamia si ute utakuwa mwingi udugu..!!
Mi nataka ya kumwaga mma mengi ili niende sawa na huyo kidudu mtu anayemsumbua chino na katerelo 😹😹
Kwa mimi starehe yangu ni uteute ule wenyewe, niloweke hasa had kengele nazo zilowe(nisame kwa lugha ngumu)
Hayo maji kwa kweli mimi hapana kuloweshana, tunaanza tena kugeuza godoro mara tukaushe karaha
 
downloadfile-3.jpg
 
Back
Top Bottom