Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijawahi kuwa na picha maana kila anayejaribu kunipiga picha, camera yake huungua. Tatizo la kuwa na sura mbaya hilo. Hivyo sina picha yoyote na naogopa kujipiga picha isije hii simu niliyopewa kama zawadi ikaungua. Nina uhakika ikiungua, sitaweza kuingia tena JF maana ni ngumu sana kupata mfadhili. Uwezo wangu Binafsi wa kumiliki smartphone haupo, na baada ya mafuta kupanda kila mtu ni bahili wa pesa yake. Nasema uongo wajameni - kwa sauti ya Kenyatta
Matajiri tunawajua hampendi sifa 😹😹
G wewe si upo jikoni kwa Samuya
 
Sijawahi kuwa na picha maana kila anayejaribu kunipiga picha, camera yake huungua. Tatizo la kuwa na sura mbaya hilo. Hivyo sina picha yoyote na naogopa kujipiga picha isije hii simu niliyopewa kama zawadi ikaungua. Nina uhakika ikiungua, sitaweza kuingia tena JF maana ni ngumu sana kupata mfadhili. Uwezo wangu Binafsi wa kumiliki smartphone haupo, na baada ya mafuta kupanda kila mtu ni bahili wa pesa yake. Nasema uongo wajameni - kwa sauti ya Kenyatta
😂😂😂 ila Shemejiii khaaah.
 
Back
Top Bottom