Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 3,545
- 7,627
Anaweka maisha yake bond bila uoga ๐น๐นYuko weyaa weyaa na wavuvi au maharia.
๐๐๐
Anaweka maisha yake bond bila uoga ๐น๐นYuko weyaa weyaa na wavuvi au maharia.
๐๐๐
Matoke na nyanya chungu ๐น๐นUle matokeee mwaegoo, urushee majiii.
๐๐๐๐
Hapanaaa, bamia, ๐๐๐Matoke na nyanya chungu ๐น๐น
Haogopi dudu wa kungunii, ๐๐๐Anaweka maisha yake bond bila uoga ๐น๐น
๐น๐น๐น Hatareee sana..!!๐๐๐๐ khaaah, umeanzaa fujoo sasa.
๐๐๐๐ aaah sitaki kuaminiii.Filter imekaa pembeni ๐น๐น
Eehh ndio ๐น๐นYuko jumba jeupe la Chamwinoo, ๐๐๐
๐๐๐๐ nikivunjikaa, MOI utalipia wee gharamaa? Au shemejii Gwapole?Jiandae shuhuli tunayo ๐น๐น
Tena usasambue na misamba ya mama shea..!!
Uongooo ๐๐๐Ukitaka siku hizi kuua mtu, usiite Mwizi Mwizi sema tu, yupo karibu na samuya! Ndugu yangu unanitafutia kifo. Nafanya kazi kWa Mchina tu hapa vingunguti
G lete maokoto ya tozo hayo acha kujisemesha, wewe pesa unazo bana..!! ๐นUkitaka siku hizi kuua mtu, usiite Mwizi Mwizi sema tu, yupo karibu na samuya! Ndugu yangu unanitafutia kifo. Nafanya kazi kWa Mchina tu hapa vingunguti
๐๐๐bushaa au?๐น๐น๐น Sitaki mchezo na usingizi wangu..!!
Nitamtoa mtu kishipa udugu ๐น
Piga km ya siku ile basi..!!Vizuri kivip mtoto mzuri? Yako iko wapi?
Nitakupa ubuyu pm ๐นkwani nimesema nimeshazipata?
Walahi unanilisha maneno, ila kama unanibariki napokea baraka kwa kweli na hizo pesa zije tu.
Na kama zipo unataka utumie? What do you have to offer?๐
Kwa kwelii, ๐๐๐G lete maokoto ya tozo hayo acha kujisemesha, wewe pesa unazo bana..!! ๐น
๐๐๐ wee huogopiii? Kutazama noninoo za kina nanihii?๐น๐น๐น Hatareee sana..!!
Siku hizi ujanja kumiliki password ya piemuni..!!
Ukirusha mpodido nauangalia kabla ya muhusika..!! ๐น
Bamia si ute utakuwa mwingi udugu..!!Hapanaaa, bamia, ๐๐๐
Kumekuchaaaa!! ๐๐๐Nitakupa ubuyu pm ๐น
Ila wanaume wa kibongo ko hamtoi pesa bila kupewa kitu? ๐น๐น
๐๐๐๐ basi ufanye ule matikiti kwa kushatoo.Bamia si ute utakuwa mwingi udugu..!!
Mi nataka ya kumwaga mma mengi ili niende sawa na huyo kidudu mtu anayemsumbua chino na katerelo ๐น๐น
Baba mkavu huyu, haogopi hata kungโatwa makengele yake huko ziwani..!! ๐น๐น๐นHaogopi dudu wa kungunii, ๐๐๐
Amini uduguu..!! ๐น๐๐๐๐ aaah sitaki kuaminiii.