Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ khaaah, umeanzaa fujoo sasa.
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Hatareee sana..!!
Siku hizi ujanja kumiliki password ya piemuni..!!

Ukirusha mpodido nauangalia kabla ya muhusika..!! ๐Ÿ˜น
 
Ukitaka siku hizi kuua mtu, usiite Mwizi Mwizi sema tu, yupo karibu na samuya! Ndugu yangu unanitafutia kifo. Nafanya kazi kWa Mchina tu hapa vingunguti
G lete maokoto ya tozo hayo acha kujisemesha, wewe pesa unazo bana..!! ๐Ÿ˜น
 
kwani nimesema nimeshazipata?
Walahi unanilisha maneno, ila kama unanibariki napokea baraka kwa kweli na hizo pesa zije tu.
Na kama zipo unataka utumie? What do you have to offer?๐Ÿ˜†
Nitakupa ubuyu pm ๐Ÿ˜น
Ila wanaume wa kibongo ko hamtoi pesa bila kupewa kitu? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Hatareee sana..!!
Siku hizi ujanja kumiliki password ya piemuni..!!

Ukirusha mpodido nauangalia kabla ya muhusika..!! ๐Ÿ˜น
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wee huogopiii? Kutazama noninoo za kina nanihii?
Alooooh
 
Back
Top Bottom