Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂 khaaah, umeanzaa fujoo sasa.
😹😹😹 Hatareee sana..!!
Siku hizi ujanja kumiliki password ya piemuni..!!

Ukirusha mpodido nauangalia kabla ya muhusika..!! 😹
 
Ukitaka siku hizi kuua mtu, usiite Mwizi Mwizi sema tu, yupo karibu na samuya! Ndugu yangu unanitafutia kifo. Nafanya kazi kWa Mchina tu hapa vingunguti
G lete maokoto ya tozo hayo acha kujisemesha, wewe pesa unazo bana..!! 😹
 
kwani nimesema nimeshazipata?
Walahi unanilisha maneno, ila kama unanibariki napokea baraka kwa kweli na hizo pesa zije tu.
Na kama zipo unataka utumie? What do you have to offer?😆
Nitakupa ubuyu pm 😹
Ila wanaume wa kibongo ko hamtoi pesa bila kupewa kitu? 😹😹
 
😹😹😹 Hatareee sana..!!
Siku hizi ujanja kumiliki password ya piemuni..!!

Ukirusha mpodido nauangalia kabla ya muhusika..!! 😹
😂😂😂 wee huogopiii? Kutazama noninoo za kina nanihii?
Alooooh
 
Back
Top Bottom