Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 3,549
- 7,619
Anaweka maisha yake bond bila uoga 😹😹Yuko weyaa weyaa na wavuvi au maharia.
😂😂😂
Anaweka maisha yake bond bila uoga 😹😹Yuko weyaa weyaa na wavuvi au maharia.
😂😂😂
Matoke na nyanya chungu 😹😹Ule matokeee mwaegoo, urushee majiii.
😂😂😂😂
Hapanaaa, bamia, 😂😂😂Matoke na nyanya chungu 😹😹
Haogopi dudu wa kungunii, 😂😂😂Anaweka maisha yake bond bila uoga 😹😹
😹😹😹 Hatareee sana..!!😂😂😂😂 khaaah, umeanzaa fujoo sasa.
😂😂😂😂 aaah sitaki kuaminiii.Filter imekaa pembeni 😹😹
Eehh ndio 😹😹Yuko jumba jeupe la Chamwinoo, 😂😂😂
😂😂😂😂 nikivunjikaa, MOI utalipia wee gharamaa? Au shemejii Gwapole?Jiandae shuhuli tunayo 😹😹
Tena usasambue na misamba ya mama shea..!!
Uongooo 😂😂😂Ukitaka siku hizi kuua mtu, usiite Mwizi Mwizi sema tu, yupo karibu na samuya! Ndugu yangu unanitafutia kifo. Nafanya kazi kWa Mchina tu hapa vingunguti
G lete maokoto ya tozo hayo acha kujisemesha, wewe pesa unazo bana..!! 😹Ukitaka siku hizi kuua mtu, usiite Mwizi Mwizi sema tu, yupo karibu na samuya! Ndugu yangu unanitafutia kifo. Nafanya kazi kWa Mchina tu hapa vingunguti
😂😂😂bushaa au?😹😹😹 Sitaki mchezo na usingizi wangu..!!
Nitamtoa mtu kishipa udugu 😹
Piga km ya siku ile basi..!!Vizuri kivip mtoto mzuri? Yako iko wapi?
Nitakupa ubuyu pm 😹kwani nimesema nimeshazipata?
Walahi unanilisha maneno, ila kama unanibariki napokea baraka kwa kweli na hizo pesa zije tu.
Na kama zipo unataka utumie? What do you have to offer?😆
Kwa kwelii, 😂😂😂G lete maokoto ya tozo hayo acha kujisemesha, wewe pesa unazo bana..!! 😹
😂😂😂 wee huogopiii? Kutazama noninoo za kina nanihii?😹😹😹 Hatareee sana..!!
Siku hizi ujanja kumiliki password ya piemuni..!!
Ukirusha mpodido nauangalia kabla ya muhusika..!! 😹
Bamia si ute utakuwa mwingi udugu..!!Hapanaaa, bamia, 😂😂😂
Kumekuchaaaa!! 😂😂😂Nitakupa ubuyu pm 😹
Ila wanaume wa kibongo ko hamtoi pesa bila kupewa kitu? 😹😹
😂😂😂😂 basi ufanye ule matikiti kwa kushatoo.Bamia si ute utakuwa mwingi udugu..!!
Mi nataka ya kumwaga mma mengi ili niende sawa na huyo kidudu mtu anayemsumbua chino na katerelo 😹😹
Baba mkavu huyu, haogopi hata kung’atwa makengele yake huko ziwani..!! 😹😹😹Haogopi dudu wa kungunii, 😂😂😂
Amini uduguu..!! 😹😂😂😂😂 aaah sitaki kuaminiii.