Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

8a13d427-154e-4177-b942-212bb2407ded.jpeg
 
Kwa mimi starehe yangu ni uteute ule wenyewe, niloweke hasa had kengele nazo zilowe(nisame kwa lugha ngumu)
Hayo maji kwa kweli mimi hapana kuloweshana, tunaanza tena kugeuza godoro mara tukaushe karaha
Nimechekaaa 😹😹😹
Ila wewe jamani una mineno kumbe? 😹

Eti mikengele nayo ilowe 😹
Watu mnapenda mchezo mbaya..!!
 
Nimejifunza kusema no kwa kila kitu, na mtu aki insist sana lazima uulize unataka nini in return. Wenzetu hawataki favours kabisaa bila kusema lengo ni nini. Hata ukinipa lazima nijue unataka nini in-return, huwezi kunipa bure bure. Sijui unanielewa 😆
Karibu PM nakusubiri ulete huo ubuyu
😹😹😹 Mimi nakupa umbea bure sitaki return yoyote..!!
 
Back
Top Bottom