Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Na kweli nimegundua hilo,, sie wengine kuandika ni fani yetu na hatuoni taabu kuandika hata vitu ambavyo hatujaulizwa..
Acha tu tumebanana hadi nikaamua niweke backpack yangu kwenye makalio; mambo ya kubanana na njemba nyuma ya makalio yangu mmmmmh










Walah umenichekesha dota!!!
Wanyakyusa ni waongeaji sana na wakarimu. Its fun being with them, sijawahi ona mnyakyusa kapooza pooza kama msukuma.Na kweli nimegundua hilo,, sie wengine kuandika ni fani yetu na hatuoni taabu kuandika hata vitu ambavyo hatujaulizwa..










Acha tu; yani nikiwa huku ni kulinda makalio tu






Ndaga fijoWanyakyusa ni waongeaji sana na wakarimu. Its fun being with them, sijawahi ona mnyakyusa kapooza pooza kama msukuma.
Watu8 akija mwambie nimekwenda kutafuta pension maana yeye kashindwa kazi.
![]()
Unayafahamu marovu..?Siku nyingine tena,j5 tulivu , December fever kdg kdg .
karibuni ...View attachment 1288719
MTC | 101|![]()
Shuleni kwetu kuna mwalimu mnyakyusa, yaani kwanza ni kipenzi cha wanafunzi, Veeery funny, sijawahi kumwona kakasirika yule mtoto na muongeaji kweli.Ndaga fijo
Shuleni kwetu kuna mwalimu mnyakyusa, yaani kwanza ni kipenzi cha wanafunzi, Veeery funny, sijawahi kumwona kakasirika yule mtoto na muongeaji kweli.
Ila sisi ni washkaji sanaa.; watu poa sana pamoja na ubabe wetu teh






Ni vile hampendi ujinga.
Kimiminika fulani huwa kinabe-Extracted kutoka kwenye mti wa mchikichi/Mgazi..Ndio nn hayo marovu?
MTC | 101|![]()
Mkwe wako huyo mzee baba...
Mkwe wako huyo mzee baba...
Hahah...mi imebidi nichekee tumboni tu maana nipo sehemu watu wengi
Walah umenichekesha dota!!!
Nakwamia hapo kwenye pension mkwe.