cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,303
- 187,962
Wachaa wee!! Basi sawaa.Kwa nn? Sem nafkiria kurudi dar soon mana nahitaj chamgamoto mpya za maisha
Wachaa wee!! Basi sawaa.Kwa nn? Sem nafkiria kurudi dar soon mana nahitaj chamgamoto mpya za maisha
Fala 😂Msalimie mej😂
Maana naona nimekuwa Mshangazi ghafla 😤😆Kuzaa sio kuzeeka wii
Vipi umeongeza mwingine?
Morning team Popo, muda huo naota ndoto ya 4 😅😅😀. This week Aaaargh tukutane weekend tu….. 🚶♀️nalog outnoma na nusu, mi naangalia korean series si unajua u popo!
ep 1-2 kisha nazima data nilale
Wee don't even dare, mida ya mapopo 😂Morning team Popo, muda huo naota ndoto ya 4 😅😅😀. This week Aaaargh tukutane weekend tu….. 🚶♀️nalog out
😹😹😹 Nipo nasinzia hapa dukani km teja.Kabisaa zije kwa flight, [emoji23][emoji23][emoji23]
Wafiwa na waombolezaji wasikose sare,
😹😹😹Si atakua ashatimiza lengo la kuniteka mie, [emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna nimepumzika, em selfika dogo langu na ulivyo hb sasa 🥰Dada kule umekuka ban tena..? Hahah
😹😹😹 Fanya mazoezi huo ushangazi ushindwe..!!Maana naona nimekuwa Mshangazi ghafla 😤😆
Fanya jambo Wii nimekumiss kukuona si unajua kitambo 😻My wii 😆😆😆
[emoji23][emoji23][emoji23] tag locs nije kukusaidia kuuza vijora uduguu,[emoji81][emoji81][emoji81] Nipo nasinzia hapa dukani km teja.
Hii tabia ya upopo JF niliacha kitambo naona inaanza kurudi..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81]
😹😹😹 Mtaa wa Kongo nimemwaga chini na speaker ya kuitia wateja inaunguruma..!![emoji23][emoji23][emoji23] tag locs nije kukusaidia kuuza vijora uduguu,
Bado husahau? 😹😹
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani hamjamalizana wee na huyo mwenzio? Kwani mmekwazana wapiii? Unajua mie sielewiii? Shengesha ya Depal na Fake P, Sasa nyie tena yanakujajeee??[emoji81][emoji81][emoji81] Mtaa wa Kongo nimemwaga chini na speaker ya kuitia wateja inaunguruma..!!
Naweka na taarabu kidogo huku tunacheza [emoji81][emoji81][emoji81]
Niliona sehemu lile chizi la mwadui linasema nateseka juani kuuza vijora angejua angetuliza kalio akatafute blauzi ya kueleweka minadani kwao huko wanakouziwa mang’ombe na nguo kwa pamoja..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu huyu asinitanie, pumbaaavu zakee.Bado husahau? [emoji81][emoji81]
Mwenzio jana kaamua kuchangamsha kijiwe.
Pesa mchezo [emoji81][emoji81]
Yani km nakuona ulivyoandaa mate ya kuhesabia..!!
Kudandia treni kwa mbele 😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23] kwani hamjamalizana wee na huyo mwenzio? Kwani mmekwazana wapiii? Unajua mie sielewiii? Shengesha ya Depal na Fake P, Sasa nyie tena yanakujajeee??
Nakujaa uduguu nijichagulie na vijora vya kushindia home. [emoji23][emoji23][emoji23]
Utasubiri sana 😹😹[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu huyu asinitanie, pumbaaavu zakee.
Afanye kutuma muamalaa. Khaaah
Sitaki utani mie.