Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usimuogopeshe mtoto mzuri, Tanzania ya mama Samia ipo salama sanaa. Usimtishe mwenzako acha ajipatie hela ya weekend
Au sio?
Kuna mwanamke kaokotwa jana salender bridge oohh..!! 😹😹😹
 
Na national naye kafa? 😹😹
Nimesema mtahusisha ID ma kumbe watu wamekufa, ilishatokea humu jf, wamekomaa na mtu kumbe ashajifia zake kitambo, kuna watu wanahisi wanajua kila mtu jf ndio mazara huanzia hapo 😁😁
 
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] Sio kweli we tupia..!!
Sasa hizo pic OG au zinazodownloadiwa mbona hawazileti?

Maneno ya wakosaji hayo..!!

Tupia foro wewe [emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23] picha za ku download tenaaa? Mbona mabwakuuu.
 
[emoji16][emoji16] sasa nigome kwanini bado upo mbali na ukweli, P O ungekuwa una mfahamu kidogo ungepata mwangaza.. ila hizo zote mna husisha ni chenga tupu
Tuachane nae huyo Lekcharaa, tuma dollar zenyewee. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usimuogopeshe mtoto mzuri, Tanzania ya mama Samia ipo salama sanaa. Usimtishe mwenzako acha ajipatie hela ya weekend
Hapo sasa, mie nasubiri muamala hukui atiiii, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom