Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usimuogopeshe mtoto mzuri, Tanzania ya mama Samia ipo salama sanaa. Usimtishe mwenzako acha ajipatie hela ya weekend
Au sio?
Kuna mwanamke kaokotwa jana salender bridge oohh..!! 😹😹😹
 
Na national naye kafa? 😹😹
Nimesema mtahusisha ID ma kumbe watu wamekufa, ilishatokea humu jf, wamekomaa na mtu kumbe ashajifia zake kitambo, kuna watu wanahisi wanajua kila mtu jf ndio mazara huanzia hapo 😁😁
 
sasa nigome kwanini bado upo mbali na ukweli, P O ungekuwa una mfahamu kidogo ungepata mwangaza.. ila hizo zote mna husisha ni chenga tupu
Tuachane nae huyo Lekcharaa, tuma dollar zenyewee.
 
Back
Top Bottom