Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 3,553
- 7,608
Juu na chini 😻😁😁 Unataka kuona juu au chini
Juu na chini 😻😁😁 Unataka kuona juu au chini
Ipi sasa kati ya ibariki na tanzania tanzaniaNational anthem 😹😹
Au sio?Usimuogopeshe mtoto mzuri, Tanzania ya mama Samia ipo salama sanaa. Usimtishe mwenzako acha ajipatie hela ya weekend
Nimesema mtahusisha ID ma kumbe watu wamekufa, ilishatokea humu jf, wamekomaa na mtu kumbe ashajifia zake kitambo, kuna watu wanahisi wanajua kila mtu jf ndio mazara huanzia hapo 😁😁Na national naye kafa? 😹😹
Tazama ramani 😹😹Ipi sasa kati ya ibariki na tanzania tanzania
Binadamu watu wabaya sana. Ila mie siwezi mtenda hivi mtoto mmbichi kama huyu.. Tanzania ya mama na usalama ni pachaAu sio?
Kuna mwanamke kaokotwa jana salender bridge oohh..!! 😹😹😹
Sio kweli we tupia..!!
Sasa hizo pic OG au zinazodownloadiwa mbona hawazileti?
Maneno ya wakosaji hayo..!!
Tupia foro wewe![]()


picha za ku download tenaaa? Mbona mabwakuuu.Wee si utuliee jamaniii, em niachee kwanzaaa.Tamaa ilimponza fisi coca![]()



Tuachane nae huyo Lekcharaa, tuma dollar zenyewee.sasa nigome kwanini bado upo mbali na ukweli, P O ungekuwa una mfahamu kidogo ungepata mwangaza.. ila hizo zote mna husisha ni chenga tupu



Ndiyooo, hela ni hela tu.Hela za JF![]()
Wewe bana unazingua 😹Binadamu watu wabaya sana. Ila mie siwezi mtenda hivi mtoto mmbichi kama huyu.. Tanzania ya mama na usalama ni pacha
Anajishtukia huyu 😹😹😹picha za ku download tenaaa? Mbona mabwakuuu.
Hapo sasa, mie nasubiri muamala hukui atiiii,Usimuogopeshe mtoto mzuri, Tanzania ya mama Samia ipo salama sanaa. Usimtishe mwenzako acha ajipatie hela ya weekend



Au sio?
Kuna mwanamke kaokotwa jana salender bridge oohh..!!![]()


mie ntaokotwa Mto Ruvuma, utakuja msibani uduguu.Uduguu mi nduguyo ujue.Wee si utuliee jamaniii, em niachee kwanzaaa.
Mie nataka kupokea muamala wa dollars.
Acha maneno basi tia helaaa,Binadamu watu wabaya sana. Ila mie siwezi mtenda hivi mtoto mmbichi kama huyu.. Tanzania ya mama na usalama ni pacha



😹😹😹😹 EtiiiNdiyooo, hela ni hela tu.
Huna baya, kwenye hii dunia ukiishi fair hakuna wabaya wakutafute. Muhimu kuishi kwa amani na kutokuwa na visasi na watumie ntaokotwa Mto Ruvuma, utakuja msibani uduguu.