Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama P O anamfahamu dk sifuri tu.. angenijua lakini sio kwa ID ya humu [emoji16][emoji16][emoji16] humu mtawakosea watu kwa kuwahisi vibaya wakati na wengine wamejifia akina mzabazab [emoji16][emoji16]
Kumjua lekcha pale COET, sio sawa na I'd yake humu sasa.
Em taja I'd yako ya zamani bhana. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Tuma account tuma account

.. Usitume namba tuma account
Wee ni muongoo sasa, wee si utatuma hela kutoka kwa acc yako kuja kwa no angu, shida iko wapiii?
 
Tayariiiii [emoji23][emoji23][emoji23]
Hutumi account nikapumzike 😁😁
Mualiko wa kati kati ya nchi umegomea, kutuma account umegomea.. basi tenaaa kuhisi kwa usahihi bado ume chemkaa. Niondoke na dollar zangu
 
Hutumi account nikapumzike [emoji16][emoji16]
Mualiko wa kati kati ya nchi umegomea, kutuma account umegomea.. basi tenaaa kuhisi kwa usahihi bado ume chemkaa. Niondoke na dollar zangu
Hauko serious wee, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
😁😁 huku nyie si mna dowload pichaa nasikiaaa
😹😹😹😹 Sio kweli we tupia..!!
Sasa hizo pic OG au zinazodownloadiwa mbona hawazileti?

Maneno ya wakosaji hayo..!!

Tupia foro wewe 😹
 
Ni yeyee, anagoma kujifaragua tu, ni yeye huyu.
😁😁 sasa nigome kwanini bado upo mbali na ukweli, P O ungekuwa una mfahamu kidogo ungepata mwangaza.. ila hizo zote mna husisha ni chenga tupu
 
Back
Top Bottom