Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป woooww
Edo kama Edo awwwww uko muhanshamu ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

JF ina wakaka wazuri afu wa mwaka wa mbele..!!
Aiseee Edo umeoa?
Mbona km vitu vyangu kabisaa..!! ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Mahari yako sh ngapi mkuu tulete๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒmtachunguzana mbele ya safari๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Hao matapeli aiseee!!
Sasa hizo mali zao?
Mwenzao atafute kwaajili ya familia yake wao wajichukulie kiulani..!!

Ndugu kama hao wa kukaa nao mbali sana hawachelewi kukutoa uhai kwa tamaa ya vitu ulivyonavyo..

Mimi kaka yangu mzee alipokufa cha kwanza kajimilikisha semi za transit 4 ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Msibani rambirambi kachukua zote.

Afu mpuuzi alipewa kipaumbele na mzee na ana maisha ila tamaa imemjaa..!!
Katika wote sikuwahi kumfikiria yeye km angezingua!! Kazingua big time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ