Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Enhe
Hata wewe bado, ningewataja ninaotakiwa kufanya nao utani lakini nanyamaza![]()
Hata wewe bado, ningewataja ninaotakiwa kufanya nao utani lakini nanyamaza![]()
sasa na wewe unacheka nini utadhani hata ulikuwa umeshabalehe basi





Wengi wanalikosea hilo. Halipigwi hivyo. Hivyo wanapiga wazee. Kama ulivyoiweka nyanyua magoti juu. Hilo linapigwa kama push up,magoti yasiguse chini. Nenda nalo mbele,rudi nyuma. Angalia usije ukaangukia meno kwa sbb unaanza. Utagundua tofauti na ulivyokuwa mwanzo. Kwanza tumbo likaza sana. Kwa mara ya kwanza ngozi ya tumbo itakuumaHili zoez inabd nisimame kwa muda..roho inauma ila ndo ivo..goti kwishnei..View attachment 1288064
Hata wewe bado, ningewataja ninaotakiwa kufanya nao utani lakini nanyamaza![]()






Daah hizi dharau sasa,, mie nina sura ya kiutu uzima eti..
Kwa mara ya kwanza nilipewa simu mwaka 2014 mwanzoni kipindi cha likizo ya kumaliza form 4 tena ni baada ya matokeo kutoka,, ila JF nimeijua muda sema basi tu..





Hahaha, dah!
Wewe ni mwanafunzi wangu kabisa, unaanza for1 mie niko mwaka wa4 kazini.
Kwamba?Hahaha, dah!
Hivi unanionaga mtoto mwenzio eeh?



Wewe ni mwanafunzi wangu kabisa, unaanza form 1 mie niko mwaka wa4 kazini.
Hahaha, dah!
Ndio mama.Hebu huko,, kwamba 2010 wewe ndiyo ulikuwa mwaka wa 4 kazini??![]()
Hahah...leo mkwe ndio sasa nimeelewa habari ya pensheni...Mie mzee mwenzio, mkeo ndio mtoto.
Ila ndio vizuri maana pension mapemaaa![]()
We siku ile si tuliongelea mambo ya baba mkwe ukaniambia nataka tu pension. Ukasema upo kazini kuhakikisha baba mkwe anapatikana. Nilipokuuliza si hukuelewaHahah...leo mkwe ndio sasa nimeelewa habari ya pensheni...



Naomba hivi viatu nikahonge.Somewhere workingView attachment 1288287
Mkwe unataka kusemaje?
Mwanaume anaweza kuwa na mtoto akiwa na 12+daah ila nina uhakika kabisa hauwezi kuwa na umri wa kuwa baba yangu kama unavyotaka kusema