cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,380
- 188,094
Jamaniiiii [emoji23][emoji23][emoji23]Kama kuwa mtulivu Ume shindwa, hizo rasi si utasema zina kunyonga?
Jamaniiiii [emoji23][emoji23][emoji23]Kama kuwa mtulivu Ume shindwa, hizo rasi si utasema zina kunyonga?
Kwani yuko wapi jamani? 😹😹Oya mwacheni ndugu yangu, apumzike kwa amani
Asante sanaPoleee mahii
😅😅 hata kama ndiyo Ras zimnyonge kweli?Mcharuko huyo, kama vendeta kwenye dragon ball z
Yuko poa, ana endelea na mapambano ya kijamiiKwani yuko wapi jamani? 😹😹
Nimemiss hekaheka zake mara anisifie mara aniponde 🤣
Mwanzo tulikua mabest kweli alivyonitongoza nikamkataa weeeh alinishambulia nilikua sipumui humu 😹😹😹
Afu wewe ndo ulikua unampa support mxiueee 😹😹
Mwambie aje tumemmiss babu miga
Yaan yuleee sijuii yukojee, ukimkataaa anaanza kukushambuliaa.Kwani yuko wapi jamani? [emoji81][emoji81]
Nimemiss hekaheka zake mara anisifie mara aniponde [emoji1787]
Mwanzo tulikua mabest kweli alivyonitongoza nikamkataa weeeh alinishambulia nilikua sipumui humu [emoji81][emoji81][emoji81]
Afu wewe ndo ulikua unampa support mxiueee [emoji81][emoji81]
Mwambie aje tumemmiss babu miga
Astaghfirullah astaghfirullah dunia imeisha🙌[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie ndo alikua ananidanganyaa eti nikimaliza tu najisajiri ERB, ananitupa Ewura kuna tendecy nitakua palee, bas full kunipa ahadi, mie hapo namchoraaa.
Hiyo siku eti kaja mlimani city tukutane afu tuende Hotelini tuka stay.
Mwenzakoo hoiiii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikua namfaidi PM yulee, aliwahi tuma ududu wake ukiwa ndani ya boxer. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli afanye kurudiii babu migambutiii, umesahau picha zake yuko Serengetii utasema ni PK kabisaa, mule mulee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mcharuko huyo, kama vendeta kwenye dragon ball z
Ukiwa mcharuko uta kasirishwa hadi na komwe lako😅😅 hata kama ndiyo Ras zimnyonge kweli?
😀😀😀😀, yaani hayo mambo yote sina hata PM nimefunga vioja vyote vya humu JF Mchezo naogopa sanaMambo yataharibikajee? Kwani unashare bwana na mtu humu? Unatuma mpodido wako kwa watu PM? Km hufanyi hivyo walaa wee tembea kifua mbeleee.
[emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅 khaa!! Basi atakuwa mpole kama mimi akiwa na RasUkiwa mcharuko uta kasirishwa hadi na komwe lako
Ishi humo dear, JF ni Msitu sio kichaka tenaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], yaani hayo mambo yote sina hata PM nimefunga vioja vyote vya humu JF Mchezo naogopa sana
Ukifunga pm, salamu tutakua tunakutumiaje?😀😀😀😀, yaani hayo mambo yote sina hata PM nimefunga vioja vyote vya humu JF Mchezo naogopa sana
😹😹😹 Babu migambutii alinichekesha alivyosema eti uduguu wetu walikuwa wanatumiana picha za mipodido.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie ndo alikua ananidanganyaa eti nikimaliza tu najisajiri ERB, ananitupa Ewura kuna tendecy nitakua palee, bas full kunipa ahadi, mie hapo namchoraaa.
Hiyo siku eti kaja mlimani city tukutane afu tuende Hotelini tuka stay.
Mwenzakoo hoiiii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikua namfaidi PM yulee, aliwahi tuma ududu wake ukiwa ndani ya boxer. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli afanye kurudiii babu migambutiii, umesahau picha zake yuko Serengetii utasema ni PK kabisaa, mule mulee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msitu wa kutisha 😅, acha tu niishi maisha haya. na uzuri mikasa mingi ya humu nimeshuhudia 🙌Ishi humo dear, JF ni Msitu sio kichaka tenaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niikute tsap 🔥Ntakuwekeaaa mahii uduguuu, afu uzuri yeye yuko anapitaa kimya kimyaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndo hapo 😹😹😹Mambo yataharibikajee? Kwani unashare bwana na mtu humu? Unatuma mpodido wako kwa watu PM? Km hufanyi hivyo walaa wee tembea kifua mbeleee.
[emoji23][emoji23][emoji23]
We ni mpole sana ehh?, au ndio kama smigo wa lord of the ringsChica Gee, post: 56025218, member: 639077"]
😅😅😅 khaa!! Basi atakuwa mpole kama mimi akiwa na Ras
Mwambie namsalimia sana aje atupe hi bana 😹😹😹Yuko poa, ana endelea na mapambano ya kijamii