Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu itabidi nikutafute unipe list ya hizo movie 😀 inaonekana unazijua sana movie kalii.. Ngoja nipumzishe Komwe sasa 🚶‍♀️
[/QUOTE]
Usijali anytime karibu, nime tazama nyingi ziko hadi za marasi 😅
 
Mwambie namsalimia sana aje atupe hi bana [emoji81][emoji81][emoji81]

Ile selfika ya kipindi kile ilikuwa tamu sana.

Na kaka rabbit sijui kapotelea wapi jamani [emoji26]
Na Tinsley na yulee jamaa ake wakapeana password za JF, mara boss kubwa wangu wakutane mlimani city kununua vyombooo.
Jamani Boss kubwa anaenda kununua vyomboo mie mkewe sijuii kweliii?? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na Tinsley na yulee jamaa ake wakapeana password za JF, mara boss kubwa wangu wakutane mlimani city kununua vyombooo.
Jamani Boss kubwa anaenda kununua vyomboo mie mkewe sijuii kweliii?? [emoji23][emoji23][emoji23]
😹😹😹 Tin nilikua nampenda mpole Ila chini ya carpet m-bad 🤣

Alikua na English tramu JF sijaona, Tinsley njoo mahi nimekumiss.

Uduguu mdai Shem na wewe ukanunuliwe vyombo..!! 😹
 
😹😹😹 Tin nilikua nampenda mpole Ila chini ya carpet m-bad 🤣

Alikua na English tramu JF sijaona, Tinsley njoo mahi nimekumiss.

Uduguu mdai Shem na wewe ukanunuliwe vyombo..!! 😹
Duh nyie
watu mlilala sangapi🤣🤣🤣
Noma sn hivi hizo id ziko wapi nimezikumbuka
 
Back
Top Bottom