Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹

Babu Migambuti jamani dah! Kitambo sana 😹😹

Uduguu umenikumbusha wayback enzi kichwa kipo moto. Team Antonia kindakindaki

Ila ile vita tuliipiga mpk babu Miga akasepa mazima..!!

Babu Miga kokote ulipo njoo sasa hivi tumekua mabinti wenye adabu. Tumekumiss wenzio

Nimekumbuka alivyokutafutia kazi afu kazi yenyewe hamna 😹😹😹
Oya mwacheni ndugu yangu, apumzike kwa amani
 
Natamani sanaa niwe na Rasii, nweiii nitakapokuwa tayari nitakufata unipe muongozo sahihi. [emoji120]
Onhoo ni nzuri kwakweli, zinakufanya uonekane natural. muda wowote unakaribishwa dear 😍😍
 
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]

Babu Migambuti jamani dah! Kitambo sana [emoji81][emoji81]

Uduguu umenikumbusha wayback enzi kichwa kipo moto. Team Antonia kindakindaki

Ila ile vita tuliipiga mpk babu Miga akasepa mazima..!!

Babu Miga kokote ulipo njoo sasa hivi tumekua mabinti wenye adabu. Tumekumiss wenzio

Nimekumbuka alivyokutafutia kazi afu kazi yenyewe hamna [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie ndo alikua ananidanganyaa eti nikimaliza tu najisajiri ERB, ananitupa Ewura kuna tendecy nitakua palee, bas full kunipa ahadi, mie hapo namchoraaa.

Hiyo siku eti kaja mlimani city tukutane afu tuende Hotelini tuka stay.
Mwenzakoo hoiiii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikua namfaidi PM yulee, aliwahi tuma ududu wake ukiwa ndani ya boxer. [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa kweli afanye kurudiii babu migambutiii, umesahau picha zake yuko Serengetii utasema ni PK kabisaa, mule mulee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] Wala usigombane uduguu wangu muache atarudi mwenyewe..!!

Huyo R huna pic yake nimuone uduguu umemsifia sana.
Ntakuwekeaaa mahii uduguuu, afu uzuri yeye yuko anapitaa kimya kimyaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni mpole siwezi hata kujielezea nisije anza kulia bure [emoji3][emoji1787].

Mambo ya Hekaheka mnayaweza nyie siku mambo yakiharibika nitawaita mnitetee
Mambo yataharibikajee? Kwani unashare bwana na mtu humu? Unatuma mpodido wako kwa watu PM? Km hufanyi hivyo walaa wee tembea kifua mbeleee.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom