cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,379
- 188,094
[emoji23][emoji23][emoji23] wee Rasi unakuaje mpolee, mie najuaga ni watata sana.[emoji1787][emoji1787] naogopa hekaheka za Jeifu nisije anza kulia bure na hivi siwez jielezea
[emoji23][emoji23][emoji23] wee Rasi unakuaje mpolee, mie najuaga ni watata sana.[emoji1787][emoji1787] naogopa hekaheka za Jeifu nisije anza kulia bure na hivi siwez jielezea
Nakuona unanyapia pacha. Komaa uchukue chuma hiko 🔥🔥And I shall be there to bear witness of the queen wearing the crown.
KwakweliKabisa asee hizi hekaheka shengesha wanaweza kina coca na lamomy na fake p🤣
Weka hiyo mashine, tena hiyo ndo yenyewe sasa 😻🔥🔥🔥Utafanya niposti mashine sasa, we mwenyewe selfika tuone
Acha uoga binti. Haya tupia for me 😻🤣🤣 naogopa hekaheka za Jeifu nisije anza kulia bure na hivi siwez jielezea
Nakuambia ukweli bro, hy n mbaya, kausha nayo kwa simu yako tuu inatosha.Umeanza uchawi?
Usiniambieee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] Hujaona ile iliyopita ungechizika
Na mimi mnipe nisafishe macho🤣🤣 Ni ile ile sijui Coca kaona kwa nani?
Nitapigwa ban pacha, ila nita kutumia usijali 😅Weka hiyo mashine, tena hiyo ndo yenyewe sasa 😻🔥🔥🔥
[emoji23][emoji23][emoji23] nimeona hapa hapa mbonaa. Lol[emoji1787][emoji1787] Ni ile ile sijui Coca kaona kwa nani?
Ndiyo inahitaji uvumilivu, sema mimi nazipenda, Utunzaji wake gharama kidogo zikiwa ndogo, zikishakuwa ndefu hivi gharama zinapunguaDuuh kumbe yahitaji uvumilivu eeeh? Vipi utunzaji, na nasikia pia kuna baadhi ya vyakula haitakiwi kutumia? Je ni kweli?
Powa nimekuelewa dogo, sema wengine sisi kukaa na kitu hatuwezi usingizi unaweza usije asee☹️Nakuambia ukweli bro, hy n mbaya, kausha nayo kwa simu yako tuu inatosha.
Sirudii tena naogopa wanasave 🥲Acha uoga binti. Haya tupia for me 😻
Hupendagi amani kabisa, full kulipuka uharibuNakuona unanyapia pacha. Komaa uchukue chuma hiko 🔥🔥
Muda kantri kafanya yake[emoji23][emoji23][emoji23] nimeona hapa hapa mbonaa. Lol
Kaza Mtoto wa kiumePowa nimekuelewa dogo, sema wengine sisi kukaa na kitu hatuwezi usingizi unaweza usije asee☹️
Ila ntajitahidi
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii wakaka ni wazuriii humuu, nguvu ya kukataa kuweka mpodido unatoa wapiii? Aweee!!
Nimemiss kina Babu miga na Wige, sijui wamepotelea wapi na mavazi yao mengine humu hatujafanikiwa kuyadaka. Lol
Umesahau Babu miga heka heka zake? [emoji23][emoji23][emoji23]
Natamani sanaa niwe na Rasii, nweiii nitakapokuwa tayari nitakufata unipe muongozo sahihi. [emoji120]Ndiyo inahitaji uvumilivu, sema mimi nazipenda, Utunzaji wake gharama kidogo zikiwa ndogo, zikishakuwa ndefu hivi gharama zinapungua
Kuhusu Vyakula ni kwa wale wenye imani yao mimi binafsi nyama nakula vizuri tu sababu ni kama nywele tu za kawaida.
Ewaaaah!!Muda kantri kafanya yake
Mimi ni mpole siwezi hata kujielezea nisije anza kulia bure 😀🤣.[emoji23][emoji23][emoji23] wee Rasi unakuaje mpolee, mie najuaga ni watata sana.