Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Una nn lkn🤣🤣🤣
Nilikuja hukuwepo
Jamani nini hiki nakiona 😻😻😻

Wewe Tayana mbona km Millen 🔥

Sir God anashusha vitu, ukisikia ki portable lnternationally ndo hiki sasa..!!

Awwwww toto km malaika, hauna vipengere mwili ume balance 😻😻

Kwenye outfit ndio balaa code zimetulia na zimepoa..!!

Mbaga Jr njoo uone chuma cha mjerumani sio vile vya TANU ulivyozoea kuviona mpk macho yamekujaa ukungu..!! 😹😹😹
 
Tayana-wog
Mama mtumishii, hilo shape umetoa wapiii? Ba mtumishi kajua kuwekeza, mtoto umejua kujazia, umbo 1 tratra sanaa..
Hizo swaggz zako sasa, mie hoiii, Mambeleee hakumtupi mtu kabisaa.

[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Jamani nini hiki nakiona [emoji76][emoji76][emoji76]

Wewe Tayana mbona km Millen [emoji91]

Sir God anashusha vitu, ukisikia ki portable lnternationally ndo hiki sasa..!!

Awwwww toto km malaika, hauna vipengere mwili ume balance [emoji76][emoji76]

Kwenye outfit ndio balaa code zimetulia na zimepoa..!!

Mbaga Jr njoo uone chuma cha mjerumani sio vile vya TANU ulivyozoea kuviona mpk macho yamekujaa ukungu..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Ila mama mtumishi amejua kunogaa, umeonaa shapee lilivyojaziaaa?
Yaan yuko [emoji91][emoji91][emoji91], woiiiiiiih.
 
Anafaa na analika mpk mifupa. Vitu vyako kabisa tall, handsome afu ana karangi flani ya kuku-turn on [emoji76][emoji76][emoji76]

Awwww [emoji76][emoji76]
Li Mbaga lizuriiiiiii mpk linakera..!!
Wapareee hao mie ndio vitu vyanguu atiiii? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapana, tunahitaji kuona pics zenu kwa wingi kaka zetu wazuriiii [emoji76][emoji76][emoji76]

Hao wagogo tuwapotezee sio level zetu, sisi town tupo by birth not by bus [emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani nini hiki nakiona 😻😻😻

Wewe Tayana mbona km Millen 🔥

Sir God anashusha vitu, ukisikia ki portable lnternationally ndo hiki sasa..!!

Awwwww toto km malaika, hauna vipengere mwili ume balance 😻😻

Kwenye outfit ndio balaa code zimetulia na zimepoa..!!

Mbaga Jr njoo uone chuma cha mjerumani sio vile vya TANU ulivyozoea kuviona mpk macho yamekujaa ukungu..!! 😹😹😹
Ila wewe kweli una balaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Khaaa, nimecheka jmm
 
Yani bhana hatari kilasiku nikikaa kwenye kioo nacheka hatari senyenge zinanihusu ile picha naikumbuka hadi leo [emoji3]
Mie kwenye usafi wa kinywa niko vizuriii, mama alikua anatunyoosha kuhusu kupiga mswaki, na kuoga. Ko hadi ukubwani nazingatia sana usafi wa kinywa. Na hivi napenda kucheka cheka, aww.

Kuna mtu aliwahi kunipenda eti kisa meno yangu, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom