Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakuna aliyenituma, namfahamu deppal. Mnaandika uzushi ili mjipe furaha? Halafu?
Wewe una tuhumiwa mangapi humu?
Leo tuko na Debo na fake P, subiri siku yangu ifike nawee utoe hizi tuhuma zangu unazozijua jamanii wee baba khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi hasira tafuta pa kuzipeleka. Huwezi shindana na mtu alite smart. Hutafanikuwa utaanguka. Tafuta maisha, deppal ana yake kuandika uzushi hakukuoi furaha yoyote
Hiki ndio kinachomponza anahadaika. Uzushi unajibiwa kwa evidence hizo zote? Jana ulikua wapi wakati nipo mguu sawa nachambwa na mtoto?
 
Mi shenzy kweli bro [emoji81][emoji81][emoji81]

Sasa CH tumble unamtaka nani sio kuwavuruga mademu zako wanataka kuuana kisa dyudyu lako unalopaka vumbi [emoji1787][emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu we chizi ujue, eti dudu unalopaka vumbi.
Wee ulijuajee??
 
Nilisema sio sehemu ya kujibu. Lakini niliweke sawa hiyo Bff hata Mimi nilishangaa nimebatizwa lini,
The enemy of my enemy is my friend.
Yule mjinga aliyesambaza kutishwa ni Depal kwenye ile I'd yake nyingine. Hamjiulizi yule nguvu za utetezi mrefu alikua anatoa wapi?
Hakuna neno la maana utaweza kussma. Maumivu uliyonayo yatibu kwingine. Maskini usiye na future
 
Mi shenzy kweli bro 😹😹😹

Sasa CH tumble unamtaka nani sio kuwavuruga mademu zako wanataka kuuana kisa dyudyu lako unalopaka vumbi 🤣😹😹😹
CH Hana huu upumbavu Hawa ni kina kaundime tu.
 
Back
Top Bottom