Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787] Mimi Sina hisia zilisha tangu, str joro, fake attention mnazompa ndio zinamponza. Huyu sio wakumuonea huruma hata kidogo, anatangaza ubaya Hamjui mtu hawezi kujidefend, Lakin Kwan mnamuita debora?
Kamanda pambania penzi lako kwa CH, as if ulisema alikua mwema kwako na hamkugombana wala nini, wee pigania kilichokua chako, kumbuka CH ulianza kumjua wee kabla ya Debo. Lol

Usipoteze ushindi kirahisi hivyo, wee huoni Shouzz kamrejesha kwake Mr miongozo, why wee ushindwee??
 
Mnaandika uongo ili mjifurahishe kuwa mmekuweza depal? Tafuteni njia nyingine
Uongo uko wapi?
Wewe km unaujua ukweli weka tuone..!!

Halafu issue za wanawake wewe zinakuhusu nini umeacha kuangalia mpira na kubet basi cheza game ulale..!! Namna gani B 😹😹
 
Debo ana wake wenza wengi humu 😹😹😹
Nimekumbuka na wewe mke mwenzio uduguu kwa M 🤣🤣🤣😹😹

Huyu anaonekana ana fake life inatakiwa achunguzwe shenzy zake..!!
Wewe pia shenzi zako. Kwa kuwa kwenu si nyumba ya ghorofa au hauishi masaki kwa hiyo hutakiwi kwenda hata hotelini kunywa juice?

Acheni akili za kimaskini
 
Kwenu kupoje? Hapo kna ubaya gani? Mnaongea usengerema mtupu.
Pia maswala ya wazazi ya kazi gani? Mmeshindwa kumzungumzia yeye mwenyewe?
Wee BE au CH kwa vazi jingine hapa JF? tulia kidogo, jana ilikua zamu ya Debo, Leo Fake P. Em tuache plz. Khaaah.
Umetumwaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimewaza hivyo pia ujue, [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni YEYEEE
😹😹😹 Ni yeye wanaume wa humu wacenge wacenge sana linapokuja suala la kugombaniwa na mademu..!!

Hebu atulie km miongozo analitendea haki jina lake smart..!! Huyu kitombi poumbou limemjaa kifua mbele kutaka kutuharibia ubuyu wetu mxieeeew 😹😹😹
 
We fake P huyo D anasema wewe ni bff wa bwanake sasa kwanini unamchunguza na kumfatilia na kumtisha??
[emoji23][emoji23][emoji23] ko Debo anaogopa kwata na Doso kutoka kwa Fake p? CH yupo atawaamulia bhana.
 
Kuna kitu muhimu sana kaweka kwenye ile comment uduguu nitakurushia pm [emoji81][emoji81]

Yani mods wamefuta chap, nilipiga shot kabla ya kusoma vizuri..!!
Nitumie PM plz uduguu, [emoji23][emoji23][emoji23]
Niko kusubiri kuona jamaniii
 
Sina mpango wakucheka. Kaa chini usimchokoze mtu usiyemjua halafu yeye anakujua. Hakuna rangi utaacha kuona
Hizi hasira tafuta pa kuzipeleka. Huwezi shindana na mtu alite smart. Hutafanikuwa utaanguka. Tafuta maisha, deppal ana yake kuandika uzushi hakukuoi furaha yoyote
 
Wewe pia shenzi zako. Kwa kuwa kwenu si nyumba ya ghorofa au hauishi masaki kwa hiyo hutakiwi kwenda hata hotelini kunywa juice?

Acheni akili za kimaskini
Mi shenzy kweli bro 😹😹😹

Sasa CH tumble unamtaka nani sio kuwavuruga mademu zako wanataka kuuana kisa dyudyu lako unalopaka vumbi 🤣😹😹😹
 
[emoji81][emoji81][emoji81] Ni yeye wanaume wa humu wacenge wacenge sana linapokuja suala la kugombaniwa na mademu..!!

Hebu atulie km miongozo analitendea jina lake smart..!! Huyu kitombi poumbou limemjaa kifua mbele kutaka kutuharibia ubuyu wetu mxieeeew [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sasa, mwenzake smart anakaa chonjo anatazama shengesha zinavoenda, hatii neno wala nini, anatia Likes tyuuh.
Ila Mr miongozo mkavu yule baba jamaniii, khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ko Debo anaogopa kwata na Doso kutoka kwa Fake p? CH yupo atawaamulia bhana.
😹😹😹 CH *** kweli kapitia mlango wa nyuma kutuletea upuuzi wake hapa..!!

Fake P hebu shusha mafile usiogope wala usijibu viburushuti..!! Focus na uzi
 
Back
Top Bottom