Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,413
- 94,775
Kumbe kasoma mipango 😹😹😹Uduguu, hadi hapa CH anamchezea dada Debo, ila yeye hastukiii.
Afu nilisikia kuwa Debo ana Diploma kutoka Chuo cha Mipango, kumbe ni kweliii?
Sasa hapo Bank na uhasibu kivipi? Au Afisa manunuzi? Mbona nachachawa mwwnzenuuu.
Mabwakuuuu!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Atakuwa Afisa maendeleo hizo ndo kozi zao mipango..!!
Hii ya uhasibu tuipitie tena kuhakikisha km kweli.. 🤣😹😹