cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 115,323
- 185,598
We nawe Unapitwa siku hizi km mimi..!!
Udugu ni Depal na fake P wanamgombea certified hater. Unaambiwa toka jana humu JF kuliwaka mbaya..!!
Sasa huku na huku D kayamwaga yote kwamba fake p anamchunguza kila mara na wenyewe wanataka kufunga ndoa yeye kwanini hatulii km pilipili iliyootea makaburini
Sasa fake p naye kasema usinichezee saa 3 nakuja kuyamwaga yote uwanja wa nyumbani selfika..!! Ndo tunamsubiri hapa sijui bado hajakabidhi silaha aingie huku tuone hayo mapdf..!!![]()



Ila JF ya moto nyie, ila mbona inasemekana kuwa Fake P ndo main chick wa CH, tena wakati D yuko na Mr miongozo,
Ila baada ya D kumwagana na Mr miongozo ndo akaanza kujiless kwa CH,
Afu unaambiwa CH ni church man, kumbe nae ni wale wale,



Mbona ubuyu huu niliupataga mda, kwani wee huna uduguu? Usiniambie hata kiduchu huna. Lol
Jamaniii wahusikaaa mkujeeeee hapaaa, mtuwekee yote msiache chochote.
Ili Mafile yakae mahala pake.






