Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkuu umewahi kufanya mazoezi mfurulizo then ukapumzika kama mwezi hiv
Nn hua kinatokea kwenye mwili wako?
Mimi misuri inakaza na napata maumivu
Mimi ratiba ikiwa ngumu napotea gym hata mienzi mitatu ila kila siku asubuhi napiga push 400+ (40 × 10),huwa nalinda frame ya body isipotee na power ya mikono inakuwepo hata siku nikirudi chest naanza na uzito mkubwa 70kg.

Ila nikirudi gym(2hrs) huwa nakamia sana kwa mwenzi napumzka siku tano tu, mwili unauma siku nne tano za mwanzo misuli ikiachia hakuna maumivu tena ni kufumuka tu.

Nikipumzika sisikiagi maumivu napunguaga kimtindo push up ndio huwa zinanilinda.
 
Mimi ratiba ikiwa ngumu napotea gym hata mienzi mitatu ila kila siku asubuhi napiga push 400+ (40 × 10),huwa napungua ila frame ya body inabaki na power ya mikono inakuwepo.

Ila nikirudi gym(2hrs) huwa nakamia sana kwa mwenzi napumzka siku tano tu, mwili unauma siku nne tano za mwanzo misuli ikiachia hakuna maumivu tena ni kufumuka tu.

Nikipumzika sisikiagi maumivu napunguaga kimtindo push up ndio huwa zinanilinda.
Basi watu tunatofautiana mimi nikipmzika nanenepa sanaa na pia misuri ya miguu ya makalio inakua inakaza yaan inauma sana

Lakin nimeona tofauti kidogo nilikua nafanya mazoezi ya pumzi kwa ajili ya marathon sikwenda gym nimegundua sijapata maumivu pamoja nakua sikwenda gym kwa mda kidogo

Asante mkuu🤝
 
Back
Top Bottom