GemMaster II
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 3,426
- 10,659
Mimi ratiba ikiwa ngumu napotea gym hata mienzi mitatu ila kila siku asubuhi napiga push 400+ (40 × 10),huwa nalinda frame ya body isipotee na power ya mikono inakuwepo hata siku nikirudi chest naanza na uzito mkubwa 70kg.Mkuu umewahi kufanya mazoezi mfurulizo then ukapumzika kama mwezi hiv
Nn hua kinatokea kwenye mwili wako?
Mimi misuri inakaza na napata maumivu
Ila nikirudi gym(2hrs) huwa nakamia sana kwa mwenzi napumzka siku tano tu, mwili unauma siku nne tano za mwanzo misuli ikiachia hakuna maumivu tena ni kufumuka tu.
Nikipumzika sisikiagi maumivu napunguaga kimtindo push up ndio huwa zinanilinda.