Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Win nipo na hali mbaya sijui shida nini.
Yaani nikikojoa kama nakojoa moto 🔥🔥🔥🔥

Huku panauma nikikojoa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
wenzako waliamua kuacha uzinzi mwezi mtukufu ila we ukaendeleza kila baada ya kufuturu,,, pole mtuwangu get well soon nenda maabara wakakudunge powerself moja ukunywe na cefixim plus dox utakua sawa
 
wenzako waliamua kuacha uzinzi mwezi mtukufu ila we ukaendeleza kila baada ya kufuturu,,, pole mtuwangu get well soon nenda maabara wakakudunge powerself moja ukunywe na cefixim plus dox utakua sawa
Mmmh hiyo powerself staki tena 🙌🙌🙌🙌 maumivu yale staki..
Ile dawa nzito kama uji siitaki siitaki sitaki..
Wanasema itakua UTI
 
badae sitokuwepo we nambie saivi tuyamalize😄
Yule mdada niliyemuomna namba kanichek hapa..

Kiufupi tayari ni wapenzi aiseeee Mungu akunyimi vyote just imagine nimekosa kazi ila nimepata chaguo la moyo wangu..

Mtoto anasema mi ni mkaka pole alafu smart sana.

Daaah Mungu mkubwa na anamakusudio yake aiseeee..
 
Yule mdada niliyemuomna namba kanichek hapa..

Kiufupi tayari ni wapenzi aiseeee Mungu akunyimi vyote just imagine nimekosa kazi ila nimepata chaguo la moyo wangu..

Mtoto anasema mi ni mkaka pole alafu smart sana.

Daaah Mungu mkubwa na anamakusudio yake aiseeee..
nimechekaaaaaaaaa😄😄😄😄😄 pumbavu zako,, bado haujapona gono ushakimbilia mwanamke mwingine🤨,, sasa hiyo pisi utaipa nini? au ndo atasubiri hizo mia 5 unazopata ukiwawekea watu movie🤦‍♀️🤦‍♀️ au,ni toto la kishua halihitaji matunzo
 
Back
Top Bottom