Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Am nah lying mehn😃 katumbo kameingizwa ndani kidogo(what do u mean🥴)🤗

Unaweza kuanzia. Late 20s au 30s inategemea kama utaukaribisha😂
I mean holding katumbo kadogo is cool, nikikupa koti lake hutaonekana kifaru😅.

Then mi bado sana, maana super tall with some touch of kimbaulization
 
Kg 1 ni uongo, kunywa smoothie zenye peanut, lala mchana, kula fats, kula ngano ya tbl, utaanza kuona kitambi soon..
Serious, nakula sana nasikia couples wanakula sahani moja maybe tutakuwa tuna ongeza nae mara 3-4 😅.

sijawahi kunywa bia, I don't smoke, usingizi ndio hivyo wa kuiba Sana.
 
Duhh sio kwamba ni tatizo hilo? Sleeping pills si zinakufanya uwe mraibu ukizizoea, jitahidi kula mabilinganya! Zamani kwa sabu ya stress, nilikuwa mpk nile bia moja ndio napata usingizi..
Sinywi kila siku, ni mpaka nitake kusikia usingizi mnono, Nakunywa maziwa, ndizi siku nyingine
 
544696d7-126b-44c4-b165-4c924e554359.jpeg
 
Back
Top Bottom