Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 11,027
- 33,223
Ndio tupo watatu mimi wewe na baba yako😂Huogopi kuvamiwa na majini ya Jf usiku huu 😁😁
Ndio tupo watatu mimi wewe na baba yako😂Huogopi kuvamiwa na majini ya Jf usiku huu 😁😁
Wa 3 kwa macho ya nyama 😁Ndio tupo watatu mimi wewe na baba yako😂
Siogopi😂⚔️ Eka basi nikuongeze🙄Wa 3 kwa macho ya nyama 😁
Kiroho tupo weengi we haya
Ngoja nile dakuSiogopi😂⚔️ Eka basi nikuongeze🙄View attachment 3556257
Ulale sasa ukue03:00 muda wa kukemea watesi⚔️
Ilikuwaje tukakesha? Uwii🙆🏽♀️Ulale sasa ukue
Sijui upande wakoIlikuwaje tukakesha? Uwii🙆🏽♀️
Mbona hapa kama mweupe sana mwanaDITSO.Huu uzi unaanza nilikuwa maseke balaa nanga inapaa.....kumbe maisha matamu hamusemi acha na mie nijipost.
Familia hapo kwenye chuma🔥🔥🔥Huu uzi unaanza nilikuwa maseke balaa nanga inapaa.....kumbe maisha matamu hamusemi acha na mie nijipost.
Kumbe weupe huwa ni tatizo bwashee?Mbona hapa kama mweupe sana mwanaDITSO.
Kuna sehemu nimesema uweupe ni tatizo?Kumbe weupe huwa ni tatizo bwashee?
Kuna sehemu nimesema ,umesema weupe ni tatizo ?Kuna sehemu nimesema uweupe ni tatizo?
The way ulivowasilisha swali lako.Kuna sehemu nimesema ,umesema weupe ni tatizo ?
Hapana nimeuliza tu bila kujalisha wewe umesema niniThe way ulivowasilisha swali lako.
We mseng.e umejuaje nimesoma DIT hahaha MAKANGEMBUZI nipo uchi jfMbona hapa kama mweupe sana mwanaDITSO.
Nondo for everybodyFamilia hapo kwenye chuma🔥🔥🔥
Huyu ananijua kaka amenizingua.Kumbe weupe huwa ni tatizo bwashee?
Mkuu umewahi kufanya mazoezi mfurulizo then ukapumzika kama mwezi hivNondo for everybody
Njoo tule ugali wa babu Msunga hapa Canteen.We mseng.e umejuaje nimesoma DIT hahaha MAKANGEMBUZI nipo uchi jf