Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 19,925
- 41,081
Jamani mwenye picha hansu kanishangaza kwenye thread zake ama aitwe Huku 😊
Rudiatayali umeona?
fafanua samejaJamani mwenye picha hansu kanishangaza kwenye thread zake ama aitwe Huku 😊
weeee😆😆😆Rudia
Rudiaweeee😆😆😆
shwaaaRudia
Aweek pichafafanua sameja
Weka bwanaashwaaa
tatizo hautulii mi nimepita na kufuta chapWeka bwanaa
aiiii🤣 muite aje kuselfika hukuAweek picha
Kumbe Tesha na wewe familia🤣Mangi naskia Msosi wa DH uliukataa kabisa ukaufananisha na Msosi wa Staki Shari.
Me wa Muhimbili ila Diti nimepita kwenye professional courses hasa za System.Kumbe Tesha na wewe familia🤣
DH ni kwa wenye uchungu wa shule + wasio na mademu.
Kafie mbele!Me wa Muhimbili ila Diti nimepita kwenye professional courses hasa za System.
Dit Hadi friji mkaona muunde la kwenu wenyewe.Kafie mbele!
Bora hiyo kuliko nyie mlionunua MRI used.Dit Hadi friji mkaona muunde la kwenu wenyewe.
Friji mmefosi kufunga mashine ya AC maji yananoga kutu kishenzi.Bora hiyo kuliko nyie mlionunua MRI used.
Acha uwaki we jamaa 😅Me wa Muhimbili ila Diti nimepita kwenye professional courses hasa za System.
Dah😅😅Friji mmefosi kufunga mashine ya AC maji yananoga kutu kishenzi.
Ushaskia eeh.
Me napopakumbuka Sana ni Block B na kwenye Friji la kufosi DH.Acha uwaki we jamaa 😅