Sinywi pombe
Kama unakuja kununua nguo Karibu.
Mwe mwe mweeeeh!!Mkwe mi nakupa ofa ya kuniona laivu nikileta sanduku ya vitenge sio kwenye mapicha picha...



Khaaaa!I miss you!!
"bachela sugu"Mkwe ati wawaza kitu gani?
Hahaha...hii si ndio nzuri sasa mkwe, kizuri wala mwenyewe na sio washea na wenzioMwe mwe mweeeeh!!
Mkwe tu ninae![]()
Hahah isikupe mawazo mob, kichwa yako yatakiwa kiwaza vitu vyepesi vyepesi"bachela sugu"
Hapo kwenye "vitoto vya Tabata vimepinda sana",, Aiseee..
Naomba link chaaaap![]()
Nina umbea moto moto aiseeee nipigie naweza kuzimia kama sijakuambia
Sasa hili jina lina maana gani "my"Khaaaa!
, imebidi nitulie kwanza niunganishe tarakimu...hhaahaa tukiwa wote ntakunywaa..si unajuaa lakin??Bby umeacha gambe??![]()
njoo pm unipe namba nna majanga shogaanguNina umbea moto moto aiseeee nipigie naweza kuzimia kama sijakuambia
Sasa hili jina lina maana gani "my", imebidi nitulie kwanza niunganishe tarakimu...
Haya bwana!!



