Selfika na JF: Snap it. Show it

mjini Wana ringia nyota!

Unaweza ukawa na chura nyuma safi ila bahati huna.
 
Mweeh! Mbona mimi sijaona picha jamani. Kumbe ni mhandsomeπŸ™†β€β™‚οΈ

makaveli10 naomba picha nami nione.
 
😍😍 Jamani mate uko mshunu πŸ₯°
Nyie mliumbwa saa ngapi wenzetu wazuri hivi??

Mungu kashindwa kutubless na sisi wa kaya maskini huku kwanini lakini? 😹😹
Subaru moja hiyo 😍
Subaru Forester hiyo, tena ya 2015.
Mwambie aje gereji kwangu nina spare zake originalπŸ˜…
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mie hata mwanaume mweupe race tofauti na ya huko mamtoni, simtakii, sijui naonaje? Binafsi namuona km mwenzangu tyuuh, watanisamehe.

Sasa nikikaa na brooh na dogo, huwa nawaulizaga hivi wachumba zenu wanawapendea nn? Sijui hata bangi ya wapi natumia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wachaa wee!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna mmoja alinichekesha humu.
Eti, β€œBaridi la Mbeya unapiga dog style huku umejifunika shuka” nilicheka 😹😹😹
 
Ila kweliii!! Nyota na bahati ninayoo.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wachaa wee!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc plizπŸ™β™₯️β™₯️πŸ₯€



Fullstop, kwishaaaaa
 
Kaka SK(Razor atamfunga Negan lin) kuna mtu yupo serious na shemeji huku πŸ˜‚

Wakuu shemeji anaimbishwa huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Intelligent businessman dosho12 adriz The Consigliere Edo kissy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…