Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi mzabzabina nilikufanyaga nini lakini nikuombe msamaha maana matiti yangu kila mara unayasema 😹😹😹
Sii ulinitumia clip ya matiti yakiruka ruka nikakuomba uninyonyeshe ukaninyima.
Ili nisiyaseme matiti yako naomba univalishe nepi unipakate unipe titi ninyonye kama mtoto
 
Sii ulinitumia clip ya matiti yakiruka ruka nikakuomba uninyonyeshe ukaninyima.
Ili nisiyaseme matiti yako naomba univalishe nepi unipakate unipe titi ninyonye kama mtoto
Una wazimu wewe Mxieeeeww 😏
 
Hamna mwe titi hapo bwana ila huyu wa kulia nimependa height yake...kama Kelsea vile
Andrew weds Jovia.heic.jpg
 
Nantombe - ila hii salamu yenu inaniachaga hoi.

Kibosho kuna ndizi bana lazima usifike kwenu. Nilifika huko kwa rafiki zangu akina Temba nikanyw mbege nikaona ya kawaida. Na wale jamaa ni walevi tulichinja mbuzi wakaloweka nyama nyama kwenye k vant. Jau sana

Mimi natokea mkuu Rombo, natokea pande za juu kabisa tumepakana ma msitu. Huko mashati ulipopita huko kote ni Rombo

Kule juu ndizi zipo na mbege kuna ndizi ambazo hupendeza zaidi

Kuna siku babu alipika mbege na ndizi kisukari tu, ile mbege ilippiva akaweka ili ipande.

I remember that day we slaughtered a goat, babu alichukua paja zima akambumbukiza kwenye mbege walahi I was amazed, kuja kutoa nyama imeiba
, sijawah kula nyama tamu kiasi kile toka nizaliwe. .

Kuna ndizi hufanya mbege ilawa tamu zaidi na kuna ndizi mbege huwa ya kawaida.

Ukanda wetu wa juu una mvua, hata huko marangu (nimeoa mmasai mmarangu wao wako ukamda wa chini ndizi sio kivile) kla ukanda wa juu una ndizi nyingi mvua baridi

Ukipata mbege ya ukanda we milimani juu utaifurahia zaidi
I wonder 🤔 nimekua na mapatano sana na watu wa kaskazini mi mama ni old moshii Mimi ukiniangalia physically ni mchaga pureee Huwa nawa confuse watu.

Nimekua na maelewano mazuri sana na min -me , Gily Gru , Monetary doctor for sure our past existence mababu zetu hata bloodline zetu zitakua zina undugu.

One love
 
I wonder 🤔 nimekua na mapatano sana na watu wa kaskazini mi mama ni old moshii Mimi ukiniangalia physically ni mchaga pureee Huwa nawa confuse watu.

Nimekua na maelewano mazuri sana na min -me , Gily Gru , Monetary doctor for sure our past existence mababu zetu hata bloodline zetu zitakua zina undugu.

One love
Tunaunganishwa na kamnyweso bwashee 😅😅😅
 
I wonder 🤔 nimekua na mapatano sana na watu wa kaskazini mi mama ni old moshii Mimi ukiniangalia physically ni mchaga pureee Huwa nawa confuse watu.

Nimekua na maelewano mazuri sana na min -me , Gily Gru , Monetary doctor for sure our past existence mababu zetu hata bloodline zetu zitakua zina undugu.

One love
Nirudi zangu nikatambikie mizimu hapo shimbi kati, eeeh

Habari Yafo lanye Dr am four real,

Itikia, nangisha meku, chavaki
 
I wonder 🤔 nimekua na mapatano sana na watu wa kaskazini mi mama ni old moshii Mimi ukiniangalia physically ni mchaga pureee Huwa nawa confuse watu.

Nimekua na maelewano mazuri sana na min -me , Gily Gru , Monetary doctor for sure our past existence mababu zetu hata bloodline zetu zitakua zina undugu.

One love
One love
Ukinywa mbege unakuwa machaga pure😀
Haha nimependa sana hii post, one of the best post kuiona hapa

One love ❤️
 
Mbege ya siku ya kwanza kukamuliw inakuw juice tamu, ila wanaiacha ichache iwe kali sijui kama unanilelew kiswahil chake sikijui labda nikuandikie kichaga
nimekuelewa Gily,. maanake kabla ninywe inabidi niulize kwanza ya lini😃
 
Back
Top Bottom