win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,695
- 7,931
100 others nakuita
😅😅 wataishi kwenye nyumba tu za baba zao hakuna namnaVijana wana haki kushindwa kujenga...
Unawezaje kujenga wakati umezingirwa na PisiKali hivyo 😅🙌
Nilipanga kuwafukuza nyumbani wajukuu wangu wa kiume, lakini nimeghairi😅😅 wataishi kwenye nyumba tu za baba zao hakuna namna
Mbona kidogo sana Mjukuu, upo kwenye kupunguza mwili nini?
Hapana babu nimekula hizo 3Mbona kidogo sana Mjukuu, upo kwenye kupunguza mwili nini?
Hongera kama umemaliza sahani 3 peke yakoHapana babu nimekula hizo 3
Nimekula nini mkuu?Umekula?
Mtoto hujaweka kucha bandia safi sana..nikikumbuka na ile voice yako ni balaa🤣
Huo upaja😳Nikapange Tu sasa,. Maana haya maisha ya kuweka pombe kwenye kikombe ili usijulikane kama unakunywa sio poa aisee🥺View attachment 3454037
Umefanya hadi nimevaa miwani yangu ya macho, kuweza kusoma ujumbe uliombatana na picha 😅Nikapange Tu sasa,. Maana haya maisha ya kuweka pombe kwenye kikombe ili usijulikane kama unakunywa sio poa aisee🥺View attachment 3454037
Kumbuka hiyo picha yenyewe imepigwa na giza hili, lakini Chumba kizima kimewaka 🤗Huo upaja😳
Sio poa mzee huyo mtoto atanifanya nikaibe benki🤣Kumbuka hiyo picha yenyewe imepigwa na giza hili, lakini Chumba kizima kimewaka 🤗
Ndio ulichokiona au sioHuo upaja😳
sasa mama hapo kuna nini kingineNdio ulichokiona au sio