Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 9,078
- 25,041
Nitakupigia simu. Sijasikia sauti yako kitamboZenu mbona zinaonekana nzito na nzuri jamani.,Nifundishe basi gily kupika mbege nzuri
Nitakupigia simu. Sijasikia sauti yako kitamboZenu mbona zinaonekana nzito na nzuri jamani.,Nifundishe basi gily kupika mbege nzuri
Hii inakuwja ladha gani usipotia ndimu haiwi nzuri
Unalewa mpaka unakunyaEti kuna mtu anakunywa mbege analewa?, seriously?
Ujue nyie vijana hamjuiHata huko uchagani sio sehemu zote unaweza kupata kitu og ni machimbo maalumu na kwa watu maalumu tu😅
Mkuu nimekunywa mbege , machame ,kibosho ,uru ,marangu ,mamsera , mkuu, mashati na usersUjue nyie vijana hamjui
Kuna mbege ya aina mbili,
1 kuna mbege unapika ndizi mbivu for 6 hrs kisha unaacha ipande unakamua. Kisha unapikia ulezi kimea unamix
2. Kuna aina ya mbege wanapika marangu ndani ndani wanakanda kama maandazi au unavaa nailini unaikanyaga kanyaga. Ndizi mbivu + majani kisha juisi inachanganyw na ulezi
-jichanganye unywe hii
Hiyo ya leejay inaweza kuwa mbege ya pili, nashindwa kujua kwa nini imepata rangi hito. Kuna kitu kimeendelea hapo kati
Sawa,.Nitakupigia simu. Sijasikia sauti yako kitambo
Jamani,. Mbona naiona tamu Tu haina hata kilevi 😅Unalewa mpaka unakunya
Drink responsibility
Unakariri mbege inatengenezwa unavyozani wewe kuna mbege za matajiri kipindi hicho,Mkuu nimekunywa mbege , machame ,kibosho ,uru ,marangu ,mamsera , mkuu, mashati na users
Mbege ipo
1 kibosho
2marangu
3mashati
Machame ni juice ya azam
Usseri ni mbege iliyochanganywa na gongo
Mkuu ni damu ya yesu yenye ladha ya mbege
Uru , wanajitahidi kidogo .
Eti jichanganye unywe hii😂😂Ujue nyie vijana hamjui
Kuna mbege ya aina mbili,
1 kuna mbege unapika ndizi mbivu for 6 hrs kisha unaacha ipande unakamua. Kisha unapikia ulezi kimea unamix
2. Kuna aina ya mbege wanapika marangu ndani ndani wanakanda kama maandazi au unavaa nailini unaikanyaga kanyaga. Ndizi mbivu + majani kisha juisi inachanganyw na ulezi
-jichanganye unywe hii
Hiyo ya leejay inaweza kuwa mbege ya pili, nashindwa kujua kwa nini imepata rangi hito. Kuna kitu kimeendelea hapo kati
Nilitenga mda wangu kuzunguka mkuu , na nilikua nashuka natafuta ile sehemu mbege ni nzuri ,..Unakariri mbege inatengenezwa unavyozani wewe kuna mbege za matajiri kipindi hicho,
Juice haijawahi kumlewesha mtu
Unakunyw unalewa hatari tena hiyo ambayo hupiki sinywi - sio poa
Unaweka ndimuHii inakuwja ladha gani usipotia ndimu haiwi nzuri
Hapo umemaliza, asipokuelewa tena basi !Mkuu nimekunywa mbege , machame ,kibosho ,uru ,marangu ,mamsera , mkuu, mashati na users
Mbege ipo
1 kibosho
2marangu
3mashati
Machame ni juice ya azam
Usseri ni mbege iliyochanganywa na gongo
Mkuu ni damu ya yesu yenye ladha ya mbege
Uru , wanajitahidi kidogo .
Nantombe - ila hii salamu yenu inaniachaga hoi.Nilitenga mda wangu kuzunguka mkuu , na nilikua nashuka natafuta ile sehemu mbege ni nzuri ,..
Kibosho huwa hatuna mpinzani inajulikana
Marangu kuna sehemu wanapika mbege nzuri
Pia mashati wanatisha sana.
Hapo unasafisha figo. Kuna mwana anaweka nanasi, hata kishombo cha k kinapoteaUnaweka ndimu
Mbege ya siku ya kwanza kukamuliw inakuw juice tamu, ila wanaiacha ichache iwe kali sijui kama unanilelew kiswahil chake sikijui labda nikuandikie kichagaEti jichanganye unywe hii😂😂
Inaonekana hiyo ya pili ndio Kali yenyewe ya watu kulewa Hadi kuvua nguo
😅😅Nantombe - ila hii salamu yenu inaniachaga hoi.
Kibosho kuna ndizi bana lazima usifike kwenu. Nilifika huko kwa rafiki zangu akina Temba nikanyw mbege nikaona ya kawaida. Na wale jamaa ni walevi tulichinja mbuzi wakaloweka nyama nyama kwenye k vant. Jau sana
Mimi natokea mkuu Rombo, natokea pande za juu kabisa tumepakana ma msitu. Huko mashati ulipopita huko kote ni Rombo
Kule juu ndizi zipo na mbege kuna ndizi ambazo hupendeza zaidi
Kuna siku babu alipika mbege na ndizi kisukari tu, ile mbege ilippiva akaweka ili ipande.
I remember that day we slaughtered a goat, babu alichukua paja zima akambumbukiza kwenye mbege walahi I was amazed, kuja kutoa nyama imeiba
, sijawah kula nyama tamu kiasi kile toka nizaliwe. .
Kuna ndizi hufanya mbege ilawa tamu zaidi na kuna ndizi mbege huwa ya kawaida.
Ukanda wetu wa juu una mvua, hata huko marangu (nimeoa mmasai mmarangu wao wako ukamda wa chini ndizi sio kivile) kla ukanda wa juu una ndizi nyingi mvua baridi
Ukipata mbege ya ukanda we milimani juu utaifurahia zaidi
Hii ndio wife material sasa titi kama la Lamomy
chagua amoya hapo . nikuleteeHii ndio wife material sasa titi kama la Lamomy