cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
πππππ
πππππ
Nami naamini nitalala unono na kwa AMANI.Mie sina deni na wewe, nalala unono kabisa.
Nakazia sifa zote alizozisema Lamomy π
πππππDuh!!kumbe una kumbukumbu na mimi na hilo tukio la ajariπ
MUNGU ni mwema nilipona majeraha rafiki yangu
Siyo kukuona tu,mimi nakujua wewe nje ndaniπ
Ngoja tumpige vibao vya uso aamke asije akatia aibu π€£ππππ anaotaa huyo, muamsheni kabla hajakojoa kitandani, lol
Watu na makarama yao, unawaletea ujinga, usingizini wanakujia wanakupiga kabali, utoe picha..Khaaah πππππ
Wee ngosha afu sitaki ujinga, ifike hatua ujiheshimu,Sija wrong number wala nini,mimi na wewe tunafahamiana in and out
Wee nae hukosi comedy khaaah.Watu na makarama yao, unawaletea ujinga, usingizini wanakujia wanakupiga kabali, utoe picha..
Sasa jiulize usingizini picha utaitolea wapi.. utajamba cheche.. π€£π
Huna baya, usiku mwema Maka ππ½Nami naamini nitalala unono na kwa AMANI.
ulale unono Mzee mwenzangu
Kwa kweliii, πππππNgoja tumpige vibao vya uso aamke asije akatia aibu π€£
Ngosha anataka kujiweka kwa lazima π€£Wee ngosha afu sitaki ujinga, ifike hatua ujiheshimu,
Unajuana na mie wapi? Mazoea yasipitilize mipaka. Mxxxxiiiieeew.
Na kwako pia pisi ya KALEHuna baya, usiku mwema Maka ππ½
Yaan ananishangaza kwa kweli, si ndo yeye anajitumisha text mara tsup, mara normal, na sizijibu.Ngoja anataka kujiweka kwa lazima π€£
Achana naye, mangosha yanakuwaga na shida ndogo ndogo π€£ atakuja tu kukuomba msamaha π΅πYaan ananishangaza kwa kweli, si ndo yeye anajitumisha text mara tsup, mara normal, na sizijibu.
πππππ afu Leo eti tumewahi kukutana.
Nisikutane na Mjep, ndo nikutane na yeye? Ananichosha hapa hatariii.
Ngoja nikuambie kitu, ktk maisha yangu hata huku uraiani, kuna watu nina utani nao, na watu sio.Usikasirike brother matani tu
Kanishangaza sana, baadae unasikia, mbna fulani ulikutana nae live, mara hivi mara vilee.Achana naye, mangosha yanakuwaga na shida ndogo ndogo π€£ atakuja tu kukuomba msamaha π΅π
πΉπΉπΉπΉ Siku ukitokea ugomvi utaambiwa mbona ulimpa T π€£Kanishangaza sana, baadae unasikia, mbna fulani ulikutana nae live, mara hivi mara vilee.
Hata ukatae, waja hawaelewiii.
Yaan sijapendaa kabisaa.
πΉπΉπΉ Mangosha tena?Achana naye, mangosha yanakuwaga na shida ndogo ndogo π€£ atakuja tu kukuomba msamaha π΅π
Duuh we ni wanted nini mbona umekuwa mkali hivyo kukuambia anakujuaNgoja nikuambie kitu, ktk maisha yangu hata huku uraiani, kuna watu nina utani nao, na watu sio.
Wee sijakuweka ktk utani, ndo maana nakuheshimu na sijawahi kuonesha utani wa aina hii?
Nna kanuni 1, siwezi kuvuka mipaka yangu kwa mwingine, na mwingine asivuke mipaka yake kwangu.
Nimechagua kukuheshimu bas ilinde hiyo heshima, na ukiona unakerekwa sana kuhusu mie, kuna ignore na block, bofya hapo na maisha yaendelee.
Drama za JF nilishavuka, tena kwenye huu uzi ndo kabisa sitaki tena.
Alamski! ππ
Kuandika kimatani kuwa nilishawahi kuonana na wewe ndo kosa langu kuu lililopelekea ukasirike na uandike hili gazeti?Ngoja nikuambie kitu, ktk maisha yangu hata huku uraiani, kuna watu nina utani nao, na watu sio.
Wee sijakuweka ktk utani, ndo maana nakuheshimu na sijawahi kuonesha utani wa aina hii?
Nna kanuni 1, siwezi kuvuka mipaka yangu kwa mwingine, na mwingine asivuke mipaka yake kwangu.
Nimechagua kukuheshimu bas ilinde hiyo heshima, na ukiona unakerekwa sana kuhusu mie, kuna ignore na block, bofya hapo na maisha yaendelee.
Drama za JF nilishavuka, tena kwenye huu uzi ndo kabisa sitaki tena.
Alamski! ππ