Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja nikuambie kitu, ktk maisha yangu hata huku uraiani, kuna watu nina utani nao, na watu sio.
Wee sijakuweka ktk utani, ndo maana nakuheshimu na sijawahi kuonesha utani wa aina hii?

Nna kanuni 1, siwezi kuvuka mipaka yangu kwa mwingine, na mwingine asivuke mipaka yake kwangu.

Nimechagua kukuheshimu bas ilinde hiyo heshima, na ukiona unakerekwa sana kuhusu mie, kuna ignore na block, bofya hapo na maisha yaendelee.

Drama za JF nilishavuka, tena kwenye huu uzi ndo kabisa sitaki tena.

Alamski! 🙌🙌
Kuandika kimatani kuwa nilishawahi kuonana na wewe ndo kosa langu kuu lililopelekea ukasirike na uandike hili gazeti?

Aaaaaah!! cocastic kuwa na moyo mpana bhasi rafiki yangu nilikuwa kwenye utani japo umesema hujaniweka kwenye utani

NAKUOMBA UNISAMEHE BURE NA UENDELEE KUNIHESHIMU
 
Kuandika kimatani kuwa nilishawahi kuonana na wewe ndo kosa langu kuu lililopelekea ukasirike na uandike hili gazeti?

Aaaaaah!! cocastic kuwa na moyo mpana bhasi rafiki yangu nilikuwa kwenye utani japo umesema hujaniweka kwenye utani

NAKUOMBA UNISAMEHE BURE NA UENDELEE KUNIHESHIMU
Wee ni mgeni na JF? tena km huu uzi, si drama na njegeka zote ulikua unashuhudia? Leo uweke utani kuwa tunajuana nje ya hapa? Ili iweje? Huoni km itakua tatizo huko mbelee?

Mie sahivi sitaki drama za JF zinikutee, najiepusha nazo.

Nitakuheshimu sana tena zaidi.
 
IMG_20250218_121805_495.jpg


Mwaka 47

Enzi hizo ili uandikishwe Shule ni lazima uweze kushika sikio 🙌
 
Back
Top Bottom