Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh!!kumbe una kumbukumbu na mimi na hilo tukio la ajariπŸ˜…

MUNGU ni mwema nilipona majeraha rafiki yangu

Siyo kukuona tu,mimi nakujua wewe nje ndaniπŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mie mwenyewe sijijui, ndo unijue wee?
Naona unataka kuchangamsha uzi Leo hii.

Afu sitaki mie drama hizo na nilishavuka huko. Lol
 
Yaan ananishangaza kwa kweli, si ndo yeye anajitumisha text mara tsup, mara normal, na sizijibu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ afu Leo eti tumewahi kukutana.

Nisikutane na Mjep, ndo nikutane na yeye? Ananichosha hapa hatariii.
Achana naye, mangosha yanakuwaga na shida ndogo ndogo 🀣 atakuja tu kukuomba msamaha πŸ˜΅πŸ™ƒ
 
Usikasirike brother matani tu
Ngoja nikuambie kitu, ktk maisha yangu hata huku uraiani, kuna watu nina utani nao, na watu sio.
Wee sijakuweka ktk utani, ndo maana nakuheshimu na sijawahi kuonesha utani wa aina hii?

Nna kanuni 1, siwezi kuvuka mipaka yangu kwa mwingine, na mwingine asivuke mipaka yake kwangu.

Nimechagua kukuheshimu bas ilinde hiyo heshima, na ukiona unakerekwa sana kuhusu mie, kuna ignore na block, bofya hapo na maisha yaendelee.

Drama za JF nilishavuka, tena kwenye huu uzi ndo kabisa sitaki tena.

Alamski! πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Achana naye, mangosha yanakuwaga na shida ndogo ndogo 🀣 atakuja tu kukuomba msamaha πŸ˜΅πŸ™ƒ
Kanishangaza sana, baadae unasikia, mbna fulani ulikutana nae live, mara hivi mara vilee.
Hata ukatae, waja hawaelewiii.
Yaan sijapendaa kabisaa.
 
Kanishangaza sana, baadae unasikia, mbna fulani ulikutana nae live, mara hivi mara vilee.
Hata ukatae, waja hawaelewiii.
Yaan sijapendaa kabisaa.
😹😹😹😹 Siku ukitokea ugomvi utaambiwa mbona ulimpa T 🀣

Nimerudi kwaajili yako tupia kapicha udugu
 
Ngoja nikuambie kitu, ktk maisha yangu hata huku uraiani, kuna watu nina utani nao, na watu sio.
Wee sijakuweka ktk utani, ndo maana nakuheshimu na sijawahi kuonesha utani wa aina hii?

Nna kanuni 1, siwezi kuvuka mipaka yangu kwa mwingine, na mwingine asivuke mipaka yake kwangu.

Nimechagua kukuheshimu bas ilinde hiyo heshima, na ukiona unakerekwa sana kuhusu mie, kuna ignore na block, bofya hapo na maisha yaendelee.

Drama za JF nilishavuka, tena kwenye huu uzi ndo kabisa sitaki tena.

Alamski! πŸ™ŒπŸ™Œ
Duuh we ni wanted nini mbona umekuwa mkali hivyo kukuambia anakujua
 
Ngoja nikuambie kitu, ktk maisha yangu hata huku uraiani, kuna watu nina utani nao, na watu sio.
Wee sijakuweka ktk utani, ndo maana nakuheshimu na sijawahi kuonesha utani wa aina hii?

Nna kanuni 1, siwezi kuvuka mipaka yangu kwa mwingine, na mwingine asivuke mipaka yake kwangu.

Nimechagua kukuheshimu bas ilinde hiyo heshima, na ukiona unakerekwa sana kuhusu mie, kuna ignore na block, bofya hapo na maisha yaendelee.

Drama za JF nilishavuka, tena kwenye huu uzi ndo kabisa sitaki tena.

Alamski! πŸ™ŒπŸ™Œ
Kuandika kimatani kuwa nilishawahi kuonana na wewe ndo kosa langu kuu lililopelekea ukasirike na uandike hili gazeti?

Aaaaaah!! cocastic kuwa na moyo mpana bhasi rafiki yangu nilikuwa kwenye utani japo umesema hujaniweka kwenye utani

NAKUOMBA UNISAMEHE BURE NA UENDELEE KUNIHESHIMU
 
Back
Top Bottom