Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Udugu cocastic kumbe una body ya kwichy na husemi? ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ jamani huyo msukuma aniachee, aliniona wapiii?
Alikuja Dar mara 2, had akapataga na ajari, na hakuwahi kuniona.

Asemee tulipokutanaa, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
makaveli10
Em tuma za karibuni, hizo zamani vipii? Lol.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sijapiga picha mwaka wa ngapi sijui huu... Mie na camera ๐Ÿคณ hatuna uswahiba kwa kweli.

Hapa nilikuwa namaliza kiporo na binti wa zamani, nilale kwa amani nisine ota nimekabwa mtu anadai picha
 
Sijapiga picha mwaka wa ngapi sijui huu... Mie na camera ๐Ÿคณ hatuna uswahiba kwa kweli.

Hapa nilikuwa namaliza kiporo na binti wa zamani, nilale kwa amani nisine ota nimekabwa mtu anadai picha
Khaaah ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ jamani huyo msukuma aniachee, aliniona wapiii?
Alikuja Dar mara 2, had akapataga na ajari, na hakuwahi kuniona.

Asemee tulipokutanaa, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Duh!!kumbe una kumbukumbu na mimi na hilo tukio la ajari๐Ÿ˜…

MUNGU ni mwema nilipona majeraha rafiki yangu

Siyo kukuona tu,mimi nakujua wewe nje ndani๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom