cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
๐๐๐๐๐ wee tenaa, kule kwenu usukumani bila ng'ombe 50 hamnichukui kamwee.coca ana uzungu gani sema kajaliwa tako๐
๐๐๐๐๐ wee tenaa, kule kwenu usukumani bila ng'ombe 50 hamnichukui kamwee.coca ana uzungu gani sema kajaliwa tako๐
SawaTutarudi siku nyingine kukiwa kumepoa ๐
Si useme shati tu inatosha mpaka useme shati la maua maua๐Hata kichwa sikitaki ๐
Nimekuona lakini na shati lako maua maua ๐คฃ๐คฃ kakijana kasafi!
๐๐คฃ๐คฃ Shida unapoteaMaka amejua unaenda home kwake, kapata jeuri, ukimkamata bichwa ulibane haswa mahi wangu.
Mie acha nibaki na mshkaji wangu min -me nikimwambia ashushe kitu ๐ธ anashusha, hana longolongo za kujificha ficha kama maiti!
Haya nipo ๐คฃ na nyomi limepungua ๐คฃ๐๐คฃ๐คฃ Shida unapotea
Ng'ombe hamsini(50)?๐๐๐๐๐ wee tenaa, kule kwenu usukumani bila ng'ombe 50 hamnichukui kamwee.
๐๐๐๐๐Coca, tupe kitu basi mdhunguuu
Mkojo upi?๐๐๐๐ anaotaa huyo, muamsheni kabla hajakojoa kitandani, lol
Na hapo hata sijasema la njano ๐คฃ๐คฃ๐คฃSi useme shati tu inatosha mpaka useme shati la maua maua๐
Utajua wewee, ๐๐๐๐Mkojo upi?
Sijapiga picha mwaka wa ngapi sijui huu... Mie na camera ๐คณ hatuna uswahiba kwa kweli.
Mmeanza ufukunyukuuu wajaaaa, mtafanya modes waje watufurushee hapa..Shombeshombe huyo, babu yake alikua mreno pure, ukimuona rangi ya mtume, nywele singa singa, tako ndiyo usiseme, dogo yuko njema ๐
Khaaah ๐๐๐๐๐Sijapiga picha mwaka wa ngapi sijui huu... Mie na camera ๐คณ hatuna uswahiba kwa kweli.
Hapa nilikuwa namaliza kiporo na binti wa zamani, nilale kwa amani nisine ota nimekabwa mtu anadai picha
Mabwakuuuuu!!! Nafwaaaa!!Nilishawahi kumuona vuzi to vuzi hana ushombeshombe wowote sema tu ana ka mwili fulani hivi ka kutombeka bhaaaasi๐
Mie sina deni na wewe, nalala unono kabisa.Sijapiga picha mwaka wa ngapi sijui huu... Mie na camera ๐คณ hatuna uswahiba kwa kweli.
Hapa nilikuwa namaliza kiporo na binti wa zamani, nilale kwa amani nisine ota nimekabwa mtu anadai picha
Duh!!kumbe una kumbukumbu na mimi na hilo tukio la ajari๐๐๐๐๐ jamani huyo msukuma aniachee, aliniona wapiii?
Alikuja Dar mara 2, had akapataga na ajari, na hakuwahi kuniona.
Asemee tulipokutanaa, ๐๐๐๐๐