cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Yess naona mama na watoto wamejisitiri safi kabisaa.Saint sana, kabla ya hiyo safari kuna picha nilipoga nikiwa na kibaraghashia, ostadh swaafi kabisa.
😂
Afu kumbe wee ni Muslim?
Yess naona mama na watoto wamejisitiri safi kabisaa.Saint sana, kabla ya hiyo safari kuna picha nilipoga nikiwa na kibaraghashia, ostadh swaafi kabisa.
😂
Vitoto vyako vyote navipenda, ni vi cute vyenyewe.Hahahaaa umekapenda eh? Kazuri ila kana vurugu balaa!
Ndio, ni muislam.Yess naona mama na watoto wamejisitiri safi kabisaa.
Afu kumbe wee ni Muslim?
Noope! Sikuwahi waza kuhusu dini yako.Ndio, ni muislam.
Ulidhani dini gani?
Ndio mimi ni muislamNoope! Sikuwahi waza kuhusu dini yako.
Just hapa niliuliza tyuuh, ulivyo sema kuhusu bharakhashia ulivaa.
Yapi hayo?😂😂😂😂 nili enjoy mahusiano Yale.
Weka tena maka I swear sijaona mtu wangu.!! 😥Mbona ilikuwepo hapa, wacha zako basi.. ulilala?
😹😹😹 Sitaki banaUduguu vibaya hivyo, hadi mie? 😂😂😂😂
Sijapentraaaa!!!
Kweli tena 😹😹Fala sana wewe
Hata siku moja haitotokea 😹😹😹100 others kashafanya yake sio?
Jamani mi mbona nimeikosa 😥Yess naona mama na watoto wamejisitiri safi kabisaa.
Afu kumbe wee ni Muslim?
Basi usiwaze, nikitulia nitakuwekeaWeka tena maka I swear sijaona mtu wangu.!! 😥
Unishtue sasa maka 🥲Basi usiwaze, nikitulia nitakuwekea
Kiongozi kuna nini tena?100 others kashafanya yake sio?
Asante babe..Kama kosa la macho 🥹
Hata mkiziba nsimuone 😎
Ndani ya moyo wangu namuona yeye ❤️😍
Oooh kimaso maso wenye wivu mukome 👌
Mtaambulia matandu solo nala na yeye 😻
Na mkisema ananichuna ntampa paka BOT💰
Kama penzi taaluma basi ye ana degree 🎓
Kwake simezi mezi azuma kitu swafi og 🍆
Midomo itawanuka kwa kununa 😠
Mngetafuna ata bigijii…. 🍡
Mapenzi matamu bhana, sijui nimtag..!! 😹😹😹
Hebu nielezee kidogo udugu, huyu kiumbe natamani nimuone mana ananichekesha sana na mambo yake..!! 😹😹makaveli10
Mbona umefuta chaapu, ila umeweka naked kabisaa, thou ni ya zamani.
Unaonekana ulikua kiwembee sanaa wee wakati wako.
😂😂😂😂😂
Wala sio wewe 😹😹😹Asante babe..
i love you too 😘😘Wala sio wewe 😹😹😹