Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,850
Acha udugu wangu huyu kijana mi mwenyewe simuelewi lengo lake kabisaa..!! π₯²Uduguu nani kakukamata na umekamatikaa?
Mbna naogopaaa!! πππππ
Ataniua jamaniii πββοΈ
Acha udugu wangu huyu kijana mi mwenyewe simuelewi lengo lake kabisaa..!! π₯²Uduguu nani kakukamata na umekamatikaa?
Mbna naogopaaa!! πππππ
Mtag tuKama kosa la macho π₯Ή
Hata mkiziba nsimuone π
Ndani ya moyo wangu namuona yeye β€οΈπ
Oooh kimaso maso wenye wivu mukome π
Mtaambulia matandu solo nala na yeye π»
Na mkisema ananichuna ntampa paka BOTπ°
Kama penzi taaluma basi ye ana degree π
Kwake simezi mezi azuma kitu swafi og π
Midomo itawanuka kwa kununa π
Mngetafuna ata bigijiiβ¦. π‘
Mapenzi matamu bhana, sijui nimtag..!! πΉπΉπΉ
Atavimba bichwa πΉπΉMtag tu
Uduguu em taratibu kwani, ni wa humu humu JF au? Mtag kwan? Au nitajie PM.Acha udugu wangu huyu kijana mi mwenyewe simuelewi lengo lake kabisaa..!! π₯²
Ataniua jamaniii πββοΈ
Dah!! Hamna unyonge hata kidogo.Atavimba bichwa πΉπΉ
Halafu maka mbona kinyonge?
Hapa hapa yupo kwa Max πΉπΉUduguu em taratibu kwani, ni wa humu humu JF au? Mtag kwan? Au nitajie PM.
Mapenzii ni konyoooo, Daah πππππ
Sekta yako hiyo π€£πUduguu em taratibu kwani, ni wa humu humu JF au? Mtag kwan? Au nitajie PM.
Mapenzii ni konyoooo, Daah πππππ
πΉπΉπΉDah!! Hamna unyonge hata kidogo.
Wacha kujivunga.Hapa hapa yupo kwa Max πΉπΉ
Nikimtag wallah atajiona cake SITAKI..
Una nongwa wewe, nimekutana na DISLIKE kubwaaaaπΉπΉπΉ
Tupia pic bhasi nikuone π
πΉπΉπΉWacha kujivunga.
Penzi kikohozi
Kulificha huwezi
Sisi mashuhida yetu macho tu.πΉπΉπΉ
Km anajijua atajitag tu π₯°
Unaringa sana tatizo na hiyo pic yako..!! πΉπΉUna nongwa wewe, nimekutana na DISLIKE kubwaaaa
π€£ππ
ππππHapa hapa yupo kwa Max πΉπΉ
Nikimtag wallah atajiona cake SITAKI..
Unajuaje labda ni wewe πΉπΉπ€£π€£Sisi mashuhida yetu macho tu.
Niringe nina nini mie, sasa nikuwekee picha ya 2010 huko, utakubali?Unaringa sana tatizo na hiyo pic yako..!! πΉπΉ
ππππ sio kivileee.Sekta yako hiyo π€£π
πΉπΉπΉπΉππππ
Ila mapenzi daah, udugu mtag bhana, ndo mwanzo wa huba π₯π₯.
Wee wacha zako π πUnajuaje labda ni wewe πΉπΉπ€£π€£
Kwanini?ππππ sio kivileee.
Mie JF bas tena, woiiiiih