Hongera kwa kuwa mama, katoto kana afya tele na mwili mzuri.
Ndio hao, afu kuna washana ni wasambaa?Si ndiyo ndugu zake Mshana π€£π€£π€£
Umeanzaaa fix sasa uduguu, khaaahUmesubiri nilale udugu π₯
Haya ukiingia uirudishe nikuone trotoo lenye rangi ya dubenga.., π
Mama mtumishi nimepitwaaa? π’π’π’Napitaaaaa
Hapana ht sijatupia Leo π€£Mama mtumishi nimepitwaaa? π’π’π’
Ukitupia nitag mama mtumishi. πππHapana ht sijatupia Leo π€£
Kuna siku nilikuota hukuotika sijui ulikuwa wapiπUkitupia nitag mama mtumishi. πππ
Ukitupia niite, nami nitaitika.Hapana ht sijatupia Leo π€£
Pitia na kwangu, uje KUNISABAHI.Napitaaaaa
Mama mtumishi siku hizi mambo mengi.Kuna siku nilikuota hukuotika sijui ulikuwa wapiπ
Asanteeeeπ₯°π₯°π₯°Hongera kwa kuwa mama, katoto kana afya tele na mwili mzuri.
ππ
Em nibless basi mchana huu hamna watuPoleee Dear!! Unalalaje mapema sasa?
πππππ
Ndio kajukuu kakwanza lazima tukazingatieππWape hongera Wazazi/Walezi wake, mtoto anaonekana mwenye afya tele.
Ni wazi anakula na kushiba vizuri bila kusahau Kulala vizuri
Inanikumbusha last born wetu na Bibi yenu Mwaka 47
Wapo wengii sana hapaa. πππEm nibless basi mchana huu hamna watu
π»Asanteeeeπ₯°π₯°π₯°
Watu wameenda kula,. Niamini Mimi πWapo wengii sana hapaa. πππ
Subiri baadae kidogo.
Kwakweli mambo ni mengiMama mtumishi siku hizi mambo mengi.
Yaan nakimbizana na life, had Co poaa.
πππππ
Wee thubutuuu!! Subiri nimalizie kazi hapa, afu natupia usijari.Watu wameenda kula,. Niamini Mimi π
Afu sijui kwanini sijawahi shughurika na hayo mambo.Kwakweli mambo ni mengi
Utasimamia uchaguzi upate Helaπ