makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,820
- 103,876
😂🤣🤣 Hapana.😐ulisubiri tulale?
😂🤣🤣 Hapana.😐ulisubiri tulale?
Wapi huko nami nije kuishi!!Huku porini elfu 9
Na chenji inarudi yaani
Umeshampa uji?
Hakikisha ukoo mzima upo hairudiwi .Nishafika gentleman 😍
Weka nikuone mchizi wangu..!!
Tayari keshanyonya niko nambembeleza alale hapa,...Umeshampa uji?
Vyema sana..Tayari keshanyonya niko nambembeleza alale hapa,...
Mda wa Uji bado
Nzuriii sanaaKule napapenda ndio jukwaa lilofanya nikajiunga JF 😹
Umeanza ngonjera wewe weka nitawasimulia 😹🤣Hakikisha ukoo mzima upo hairudiwi .
Ulilelewa kwenye zile extended family..
Nyumba moja watu 17, msosi ukipikwa unawekwa kati mnaitajq wooote, asiyekuwepo tunasema nw lwke halipo.
Mtembezi hula miguu yake.
Jirani una mtoto? 😍😍
Maisha ni mepesi sanaWapi huko
Wapi huko nami nije kuishi!!
Mpwa wangu huyo 😍..Jirani una mtoto? 😍😍
🤣Umeanza ngonjera wewe weka nitawasimulia 😹🤣
Huko ili uinjoi, uwe na mipango ya pesa town.. miamala inasoma halafu unaishi huko, utainjoi sana maisha.Maisha ni mepesi sana
Ila pia mzunguko wa hela ni mdogo
Ila imekuwaje? 🤠😂😂🤣🤣 Hapana.
Imetokea tu 😂Ila imekuwaje? 🤠😂
Hahahaha kwa nini umeuliza bwashee 😅Brother 😊 avatar Yako ni pirate of Caribbean kwa nini uli amua kuiweka kaka.
Wape hongera Wazazi/Walezi wake, mtoto anaonekana mwenye afya tele.
Sawa 😂Imetokea tu 😂