Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,928
Sasa wenzako hawaiombi hivyo, we hapo kwa Tayana weka sasampa…!!Mie sijaweka mashindano shem darling ila si unajua kipendacho roho tena 😂
Sio kupiga domo na huku ni saidia fundi 😹😹😹
Sasa wenzako hawaiombi hivyo, we hapo kwa Tayana weka sasampa…!!Mie sijaweka mashindano shem darling ila si unajua kipendacho roho tena 😂
Namba tu umepata kiongozi..!! 😹😹Kabaya wap labda kwa kukosa namba yangu🤣🤣🤣View attachment 3414609
Naona amefika ila pic sijaiona au wenzangu mmepata huko? 😹Atakuja mkuu utaona😃😃😃
😹😹😹Mpk nimruhusu 🤣🤣
Camila kama camila shem ake mambo lakini?Mimi mtu wako sana ujue..ebu kagua mafile yako.rudi na majibu
Kweli kabisa Tayana chuma hiko 😍HIyo ni Special order mkuu, nilituma maombi mwenyewe nitolewe kitu cha hivyo nivimbe nacho mjini 😍
Au sio 😹😹Siyo kabaya ila hujamzidi babe wangu 😂
Kwamba nikutake wewe? 😹😹😹Hawezi ruhusu hilo ili umpige chenga ya kisigino 😂
😹😹😹Zigo for what?to me, they are all beautiful in their own way , but as a man, I believe its not respectful to compare women' s beauty....
it can hurt their self esteem and beauty means a lot to them....
lamomy has zigo hadi kumwagikiaring... tayana ni mrembo, rangi nzuri..
Hujambo mamyAbeeeee
Wewe weka bana acha visingizio.!!Usiruhusu hilo babe, rafiki yako ndo adui yako 😂
Yako pia ni muhimu mahi ☺️Wakuu njooni mselfike nimerudi..!!
Na wenye bebe zenu muda ndo huu wa kuonyeshana vyuma mnavyomiliki..!! 😹😹😹
Nilishapita mara mbili hapa umechelewa kipenzi..!! 😹😹Yako pia ni muhimu mahi ☺️
Sijapenda ☹️🥲 mbona hukuniitaNilishapita mara mbili hapa umechelewa kipenzi..!! 😹😹
Ila ankali 😹😹
Kitu nachoogopa ni kua mbali na wewe; chino amerudiChinno wangu 😍🥰