dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 4,854
- 13,314
Leo sitoki humu nasubiri kuona uki selfika na Jf๐๐๐๐๐๐ kama nakuona vile
Leo sitoki humu nasubiri kuona uki selfika na Jf๐๐๐๐๐๐ kama nakuona vile
Nitakushangaza ๐๐คฃ vibaya sanaLeo sitoki humu nasubiri kuona uki selfika na Jf๐๐
Nipo tayari kushangazwa ๐Nitakushangaza ๐๐คฃ vibaya sana
Sipiti kabisa kwanza ngoja nisepe huku๐ถ๐ผโโ๏ธNipo tayari kushangazwa ๐
haina shida utanikuta hapa hapa nikisubiriSipiti kabisa kwanza ngoja nisepe huku๐ถ๐ผโโ๏ธ
Nami wakati huo nakuwa nasubiri yakohaina shida utanikuta hapa hapa nikisubiri
๐๐ป๐๐ป๐๐ปNami wakati huo nakuwa nasubiri yako
Mimi nipe talaka yangu tu!
Dah dogo aka jipange ๐๐คฃ๐ฆSasa wenzako hawaiombi hivyo, we hapo kwa Tayana weka sasampaโฆ!!
Sio kupiga domo na huku ni saidia fundi ๐น๐น๐น
Unataka Figo za chino zifeliMimi nipe talaka yangu tu!
Siwezi kukaa na mume km kakakuona, anaonekana kwa kipindi..!! ๐๐ฅ๐น๐น๐น
Mwanaume anamwaga pesa kusifia waachie mashemeji wakwambie jamaa unapoa pazuri..!! ๐น๐น๐นDah dogo aka jipange ๐๐คฃ๐ฆ
Pesa za mahindi toka mwaka jana umekula na wanawake wengine mimi unaniletea story tu..!! ๐ฅ๐น๐น๐นUnataka Figo za chino zifeli
Duh una sema kishenzi ๐คฃ ๐คฃ๐น๐น๐น
Em mruhusu nimuone kwanza, isije kuwa ya yule aliyesemaga yupo USA kumbe yupo mbalali..!! ๐คฃ
Ila JF haiishi vituko..Mba what mbalali
Sema una pata unacho stahili, pangu pakavu halafu una taka wa kishua ahh wapi.Mwanaume anamwaga pesa kusifia waachie mashemeji wakwambie jamaa unapoa pazuri..!! ๐น๐น๐น
Sasa yeye anapiga domo tu mia mbovu hana..!! Ila Tayana mdogoangu ana mkosi wa kupata wanaume choka mbaya sijui kwanini?? ๐คฃ๐น๐น
Itabidi nikamuogeshe mto nzovwe ๐น๐น
Njoo vinane hukuPesa za mahindi toka mwaka jana umekula na wanawake wengine mimi unaniletea story tu..!! ๐ฅ๐น๐น๐น
Na huyo dadaako Antonnia ndo hata hajali, nahisi kakutafutia mwanamke mwingine..!!
Nikimuuliza Chinno yukwapi? Ananipostia mihips yake kunikera..!! ๐น๐น๐น
Hiyo familia yenu imenishinda mimi..!! ๐ฅ
Kaka Yuko wapi Bantu LadyPresent......
๐น๐น๐นDuh una sema kishenzi ๐คฃ ๐คฃ
๐น๐น๐น UtapigwaSema una pata unacho stahili, pangu pakavu halafu una taka wa kishua ahh wapi.
gari la mwaka 70 kuli lipia bei ya gen z uongoo๐๐๐ฆ