Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 2,136
- 6,062
Nitakushangaza 😂🤣 vibaya sanaLeo sitoki humu nasubiri kuona uki selfika na Jf😄😄
Nitakushangaza 😂🤣 vibaya sanaLeo sitoki humu nasubiri kuona uki selfika na Jf😄😄
Nipo tayari kushangazwa 😎Nitakushangaza 😂🤣 vibaya sana
Sipiti kabisa kwanza ngoja nisepe huku🚶🏼♀️Nipo tayari kushangazwa 😎
haina shida utanikuta hapa hapa nikisubiriSipiti kabisa kwanza ngoja nisepe huku🚶🏼♀️
Nami wakati huo nakuwa nasubiri yakohaina shida utanikuta hapa hapa nikisubiri
🏃🏻🏃🏻🏃🏻Nami wakati huo nakuwa nasubiri yako
Mimi nipe talaka yangu tu!
Dah dogo aka jipange 😂🤣🦅Sasa wenzako hawaiombi hivyo, we hapo kwa Tayana weka sasampa…!!
Sio kupiga domo na huku ni saidia fundi 😹😹😹
Unataka Figo za chino zifeliMimi nipe talaka yangu tu!
Siwezi kukaa na mume km kakakuona, anaonekana kwa kipindi..!! 😔😥😹😹😹
Mwanaume anamwaga pesa kusifia waachie mashemeji wakwambie jamaa unapoa pazuri..!! 😹😹😹Dah dogo aka jipange 😂🤣🦅
Pesa za mahindi toka mwaka jana umekula na wanawake wengine mimi unaniletea story tu..!! 😥😹😹😹Unataka Figo za chino zifeli
Duh una sema kishenzi 🤣 🤣😹😹😹
Em mruhusu nimuone kwanza, isije kuwa ya yule aliyesemaga yupo USA kumbe yupo mbalali..!! 🤣
Ila JF haiishi vituko..Mba what mbalali
Sema una pata unacho stahili, pangu pakavu halafu una taka wa kishua ahh wapi.Mwanaume anamwaga pesa kusifia waachie mashemeji wakwambie jamaa unapoa pazuri..!! 😹😹😹
Sasa yeye anapiga domo tu mia mbovu hana..!! Ila Tayana mdogoangu ana mkosi wa kupata wanaume choka mbaya sijui kwanini?? 🤣😹😹
Itabidi nikamuogeshe mto nzovwe 😹😹
Njoo vinane hukuPesa za mahindi toka mwaka jana umekula na wanawake wengine mimi unaniletea story tu..!! 😥😹😹😹
Na huyo dadaako Antonnia ndo hata hajali, nahisi kakutafutia mwanamke mwingine..!!
Nikimuuliza Chinno yukwapi? Ananipostia mihips yake kunikera..!! 😹😹😹
Hiyo familia yenu imenishinda mimi..!! 😥
Kaka Yuko wapi Bantu LadyPresent......
😹😹😹Duh una sema kishenzi 🤣 🤣
😹😹😹 UtapigwaSema una pata unacho stahili, pangu pakavu halafu una taka wa kishua ahh wapi.
gari la mwaka 70 kuli lipia bei ya gen z uongoo😂😂🦅
Vinane ndo wapi? 😹Njoo vinane huku
Yote yanazungumzika