Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,798
- 57,313
Zipo vizuri mno, Kwa Wazee wa Umri wetu sishauri uchukue mzigo huko...View attachment 3129614
Ndugu yangu Grahams ulishafika kusini?? Newala, nachingwea, mtama
Nipe sifa ya pisi za huku...
Unaweza kukuta katikati ya safari unaomba Maji
Na kama hujatembea na dawa zako za Presha jiandae kukimbizwa Zahanati ya jirani 😜