Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,986
- 48,479
Hiz mtu akinywa ngapi analewa?
Hiz mtu akinywa ngapi analewa?
😍Yaaan, hiyo roast
Alafu tamu balaa😍Yaaan, hiyo roast
Naomba nimuwekee oda ndugu yangu Vincenzo Jr ya roast....Kama ahadi ya ushindi WA wananchiAlafu tamu balaa
Ilo limeisha tajirNaomba nimuwekee oda ndugu yangu Vincenzo Jr ya roast....Kama ahadi ya ushindi WA wananchi
Kwema vip weweKwema humu
Unataka kujifunza kulewa Mjukuu?Hiz mtu akinywa ngapi analewa?
Nikuletee mkuuHiz mtu akinywa ngapi analewa?
Vitu adimu ivo mzee wa rb 800 na juice ile ya njano😍Yaaan, hiyo roast
Nakiomba babuKitabu cha Vijana kukisoma na kupata maarifa, msije kushindwa kununua Plot Masaki na Mbezi beach kwa kushindwa kuwekeza kama Babu zenu hapa 🤗
View attachment 3133327
Niazime BabuKitabu cha Vijana kukisoma na kupata maarifa, msije kushindwa kununua Plot Masaki na Mbezi beach kwa kushindwa kuwekeza kama Babu zenu hapa 🤗
View attachment 3133327
The great Mshana mwenye uzi wako.
Kitabu cha Vijana kukisoma na kupata maarifa, msije kushindwa kununua Plot Masaki na Mbezi beach kwa kushindwa kuwekeza kama Babu zenu hapa 🤗
View attachment 3133327
Hahaha..........nitajitahidi kufanya hivyo next time, lakini Kwa summary. Mtunzi anatuasa kujenga tabia ya kuwekeza, iwe kwenye real estate ama vyovyote ili ku-generate personal income na kuwa financial Stable katika nyakati zetu za Uzee.Safi mkuuu. Uwe unaweka summary kidogo humu. Kuwasaidia wenye alreagy yakusoma Kama wakina Aaliyyah