Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
Mtt wa kishua nakuona😄
Mtt wa kishua nakuona😄
🤣🤣Jamani!!!
Makubwaaaa!!!!
Haya, mimi ni huyu hapa chini,hapa ilikuwa juzi Mlimani City kwenye sendoff ya mwanangu Atoto
View attachment 3127893
Sasa mbona hueleweki?Siamini.
Sawasawa🤣🤣Tuna jambo letu jumamosi
Kataka picha nimempa, bado haamini😎🤣🤣
Haiwezekani uwe mbovu hivyo kama kiazi mbatata.Sasa mbona hueleweki?
Umetaka picha yangu, nimekupatia....na bado unasema huamini.
Haya, hebu nipe yako-ya kwangu unayoijua👀
Ndio mimi, usiangalie sura, angalia mashine.Haiwezekani uwe mbovu hivyo kama kiazi mbatata.
Mama ulipendeza "kweri kweri".Jamani!!!
Makubwaaaa!!!!
Haya, mimi ni huyu hapa chini,hapa ilikuwa juzi Mlimani City kwenye sendoff ya mwanangu Atoto
View attachment 3127893
"Azante" mwanangu wa pekee💕Mama ulipendeza "kweri kweri".
Nitafanya hivyo Mjukuu, jiandae kutuzwa na Babu yakoSio mimi, lakini siku nyingine umtume kijana basi nisije nikakosa kutuzwa! 😔
Alafu ukija tena mshtue yule mama wa mishkaki karibu na stage, aniite 🙂
🤣Ndio mimi, usiangalie sura, angalia mashine.
Body lisikudaganye....engine ndio kila kitu.
😂😂😂😂Ndio mimi, usiangalie sura, angalia mashine.
Body lisikudaganye....engine ndio kila kitu.
Mkuu hapo ni viwanja vya kinyerezi near kinyerez park.Football is a good game
Good game indeed
Hapa ndio zamani palikuwa panaitwq samak samaki? Kuna maua mazuri saana apoView attachment 3127998
Ngoja tuwahi kutoka kabla Vijana hawajaanza kutufanyia fujo Wazee wao 😜
Hello Thursday 🥂
Picha tunayo na tunatamba nayo.😂😂😂Jamani!!!
Makubwaaaa!!!!
Haya, mimi ni huyu hapa chini,hapa ilikuwa juzi Mlimani City kwenye sendoff ya mwanangu Atoto
View attachment 3127893
Ntakula chuma mbili
Sehemu mbili tofauti. Samaki ni Nyumbani Park, hapo ni Star Park. Ukitoka round about ya Msamvu kuelekea Dom kona ya kwanza kushoto ndio ipo hio star Park. Pana fujo sana watoto wengi.Hapa ndio zamani palikuwa panaitwq samak samaki? Kuna maua mazuri saana apo
Ha ha ha ile picha niliona umepiga huo upande wa jukwaa, nilipoingia tu nikatupa macho upande huo bila bila 🤣🤣🤣Sio mimi, lakini siku nyingine umtume kijana basi nisije nikakosa kutuzwa! 😔
Alafu ukija tena mshtue yule mama wa mishkaki karibu na stage, aniite 🙂