Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,798
- 57,312
Kuna binti mmoja nilimwona Jana akiimba ule wimbo wa "Love doesn't ask why" wa kwake Bibie Celin Dion usikute ulikuwa ni wewe Mjukuu☕️ ya kuchangamsha kichwa after midnight!😵😵
Alafu nilikuwa nimejaa tele kwenye Karaoke 🎤
Kabla ya hapo nilikua nazunguka zunguka kila mahali...mara jiko la juu, mara la chini, mara counter...ili mradi tu we na RRONDO mnione ila wapi!🤦🏾♀️
Wakati nasogea Kwa mwendo wa Kizee ili nikamtuze akawa ameshashuka stejini
Nikaamini kweli Wazee hatuna bahati 🙌


