sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Nawaona nawaona wakongwe. Mmetulia
Daughters are the best [IMO].Hongera Mkuu, you have been blessed with a very nice daughter
Wanasema mtoto wa kike ni rafiki wa Baba👊
Siku nikifanikiwa kupata mtoto wa kike kwenye Uzao wangu, lazima ninunue Mbwa mkali kwaajili ya kuimarisha Ulinzi nyumbani
Sitaki akina Kapachino na wenzake akina Half american hata wamsogelee 🤗
Hii wapi?
Njombe Leo tunaanzaYeees yeeees.
Mimi nasubiri Kwa hamu seminar iishe.
Wakongwe wapi🤣Nawaona nawaona wakongwe. Mmetulia
Siku moja moja sio mbaya kukumbukia enzi, isingekuwa hizi mvi zangu ningekuwa nawajoin Vijana Kila Siku hapo 😜Nawaona nawaona wakongwe. Mmetulia
Hii breakfast mbona hatushibi Mjukuu 🤗#SelfimInducedInsomnia View attachment 3127262
Usiniambie ile Karaoke ya Jana nawe ulipanda stejini 🙌
Hiki ni Kiwanja cha burudani hapo Mji Kasoro bahari, ukipata nafasi sio mbaya kutembelea hapo kuosha machoHii wapi?
Absolutely, all kids are special 😍Daughters are the best [IMO].
Nevertheless, all kids are special.
Mimi pia nilidhani ningemuona hiyo Jana, maana kulikuwa na KaraokeNiliingia hapo kumtafuta Dr Lizzy lakini nilitoka baada ya dakika 5 maanake kila nikiangalia kushoto kulia naona biinti zangu tu huku wananishangaa huyu babu kapotea njia 🤣🤣🤣🤣
Hi sumbai habari ya weweHello
Jadda,
Greeting from this side
☕️ ya kuchangamsha kichwa after midnight!😵😵Hii breakfast mbona hatushibi Mjukuu 🤗
don't say there's no need, there's need to drink it all coz there's sweet and sweetest fishes in it...😁Good morning 😉View attachment 3127430